Wakenya, nielekezeni pa kujifunza kilimo cha dragon na kiwi

Wakenya, nielekezeni pa kujifunza kilimo cha dragon na kiwi

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Habarini ndugu zanguni!

Nimearifiwa kuwa katika nchi za Afrika Mashariki, ni Kenya ndiyo inayoongoza kwa kufanya vizuri kwenye kilimo cha DRAGON na KIWI.

Ninakusudia kujihusisha na kilimo cha mazao tajwa. Na, ninaamini, nikilitembelea shamba linakolimwa, naweza kupata ufahamu mpana zaidi utakaoniwezesha kufanya kilimo chenye tija.

Nimechagaua kupatembelea Kenya kwa kusudi hilo. Mnaweza kunielekeza kwa mkulima ambaye anaweza akawa mwenyeji wangu katika hiyo ziara?

Nitajigharamikia mahitaji yangu yote.

Asanteni.
 
Mtembelee kenya anaitwa Mhandisi Anthony KINOTI....huyo ni mkulima mkubwa saana wa dragon kenya na ana sell mbegu kwa bei poa na anasafirisha popote duniani
Mimi ni Mtanganyika nimeshafika shambani kwake mara mbili
na sasa hivi mimi ni miongoni mwa watanganyika wanaolima dragon kw akiwango cha biashara
Kila la Heri
Ukitaka number yake DM ntakupatia


View: https://www.youtube.com/watch?v=unYzk9qOStE
 
Mtembelee kenya anaitwa Mhandisi Anthony KINOTI....huyo ni mkulima mkubwa saana wa dragon kenya na ana sell mbegu kwa bei poa na anasafirisha popote duniani
Mimi ni Mtanganyika nimeshafika shambani kwake mara mbili
na sasa hivi mimi ni miongoni mwa watanganyika wanaolima dragon kw akiwango cha biashara
Kila la Heri
Ukitaka number yake DM ntakupatia


View: https://www.youtube.com/watch?v=unYzk9qOStE

🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom