Wakenya: Rudishe Gold za Watu, Siyo Kila Mtu ni Wakumchezea

Hahaha sasa si 24hrs? What I know is that these are cold threats.

Ahaa haa
Ninachombea asije akawasomea albadili nchi nzima ...... ukizingatia ni mwezi mtukufu...
 
What you have to know is that the man is dealing with individuals and not state.
Ahaa haa
Ninachombea asije akawasomea albadili nchi nzima ...... ukizingatia ni mwezi mtukufu...
 
What you have to know is that the man is dealing with individuals and not state.
Yaa I understand, but at this stage the state has to posively and actively intervene. I think now you have seen, it's no longer one on one deal.
 
siungi mkono suala lilitokea,ila kutishia kwamba ana cut diplomatic tie sio lugha ya kidiplomasia,kwani kenya haiwezi survive bila yeye?.Kenya msimpe gold zake na a-cut hiyo diplomatic tie
 
Yaa I understand, but at this stage the state has to posively and actively intervene. I think now you have seen, it's no longer one on one deal.
Hehehe pole broh. I can see you are more concerned with this issue than Kenyans. Anyway we have already paid the gold.
 
Kenyans are not even worried by those threats.
siungi mkono suala lilitokea,ila kutishia kwamba ana cut diplomatic tie sio lugha ya kidiplomasia,kwani kenya haiwezi survive bila yeye?.Kenya msimpe gold zake na a-cut hiyo diplomatic tie
 
Kwahiyo ina maana wakenya ni wezi au mimi ndio sielewi,kwa maana hata juzi nimesikia wanasema eti Mbwana Samatta ni mkenya...?
 
Source yako ni newsroomtelevision.blogspot.com?
Wewe kusema kweli IQ yako ni ngapi?

you are free either to take it or trash it.
BTW rudisheeni pesa za watu msije pigwa albadil.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…