Wakenya: Rudishe Gold za Watu, Siyo Kila Mtu ni Wakumchezea

Walahi wakenya mtachapwa bakora ya kidplomasia, mkiitwa manyang'au mtasema mnaonewa? 😁😁
 
Serikali yao ina wawezesha wananchi wake kuwa wakora. NDIYO MAANA ukivunja na kuiba kwenye benki. Ukikamatwa, utafungwa kama miezi MITATU na kukutoa KUTOKA lupango ili urudi uraiani na kuzitumia pesa zako ulizoiba benki. Hiyo ilianza tangu KIPINDI cha Kenyatta babu.
 
Jamaa anafanya count down huko UARABUNI.
 
siungi mkono suala lilitokea,ila kutishia kwamba ana cut diplomatic tie sio lugha ya kidiplomasia,kwani kenya haiwezi survive bila yeye?.Kenya msimpe gold zake na a-cut hiyo diplomatic tie
We nyang'au wacha kivimbisha kichwa mtakufa lwa dhiki pimbi ww....

Hahahahah daah mmezidi lakini ukora asee
 
nawapongeza majirani zangu wakenya ni jambo la kishujaa mmefanya sasa mje mtufundishe pia muende na kwa Wazungu mfanye kama hivyo.
Walivyoiba vinatosha sasa tunaanza kurudisha kwa njia nyingineπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…