ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Ruto ndio Rais anaongoza kusafiri sana hapa Afrika ,akifuatiwa na Rais wa Nigeria.
My Take
Labda anawatafutia kazi ma Hustlers 😁😁
=====
Baada ya Rais Ruto kuwa na ziara nyingi sana nchi za nje, baadhi ya Wakenya warusha kejeli kwenye mitandao ya kijamii kwa kumuita majina mbalimbali kama vile mtalii, mtengeneza makala za utalii na nk, kumkaanga kutokana na tabia yake hiyo ya kutopatikana nchini kwake muda mwingi.
===
Pia soma: Ruto: Nilitumia pesa kidogo kwa ziara yangu ya Marekani
My Take
Labda anawatafutia kazi ma Hustlers 😁😁
=====
Baada ya Rais Ruto kuwa na ziara nyingi sana nchi za nje, baadhi ya Wakenya warusha kejeli kwenye mitandao ya kijamii kwa kumuita majina mbalimbali kama vile mtalii, mtengeneza makala za utalii na nk, kumkaanga kutokana na tabia yake hiyo ya kutopatikana nchini kwake muda mwingi.
===
Pia soma: Ruto: Nilitumia pesa kidogo kwa ziara yangu ya Marekani