Mi sipendagi battle za kijinga, kushambuliana kati ya Wakenya na Watanzania. Jamani tubadilike, kila kitu kupingana tu, mbona sote ni binadamu? Unapata faida gani kuwashambulia Wakenya? Unapata faida gani kuwashambulia Watanzania? Mnataka hata tukikutana ugenini tukwepane? Aaah, jamani, haijakaa vizuri kabisaWakenya mnapenda sifa za kijinga zisizowahusu.
reference: Kilimanjaro mountain, Diamond & Samatta