Bishop Hiluka
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 7,147
- 14,699
RAIA wa Kenya wanaoishi nchini Marekani wameandamana wakipinga Serikali yao ya Kenya, ikiwa ni siku 24, kabla ya uchaguzi wa urais wa marudio unaoatarajiwa kufanyika Oktoba 26, mwaka huu.
Raia hao wa Kenya wanaoishi jijini New York wameandamana kwa madai ya kupinga utawala waliouita mbovu unaongozwa na chama tawala, Jubilee chini ya Rais Uhuru Kenyatta.
Maandamano hayo yaliyohusisha maelfu ya raia hao yamefanyika mbele ya makao makuu ya ofisi za Umoja wa Mataifa...
Nina wasiwasi kuna mkono wa Raila kwenye haya maandamano. Wakenya kuweni makini na hawa wanasiasa: Uhuru/Ruto VS Raila, wanataka kuwagawa kwa maslahi yao binafsi badala ya maslahi ya Kenya...
Raia hao wa Kenya wanaoishi jijini New York wameandamana kwa madai ya kupinga utawala waliouita mbovu unaongozwa na chama tawala, Jubilee chini ya Rais Uhuru Kenyatta.
Maandamano hayo yaliyohusisha maelfu ya raia hao yamefanyika mbele ya makao makuu ya ofisi za Umoja wa Mataifa...
Nina wasiwasi kuna mkono wa Raila kwenye haya maandamano. Wakenya kuweni makini na hawa wanasiasa: Uhuru/Ruto VS Raila, wanataka kuwagawa kwa maslahi yao binafsi badala ya maslahi ya Kenya...