joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Na bado, safari hii nzige wameshafanya yao.Hali imekua ikijirudia kila mwaka, hawa sio wale wanaotoka maeneo yanayokumbwa na ukame, hawa ni watu kutoka maeneo ya Rift valley.
Kenya mbona hamjipangi kila wakati ni matatizo yasiyokwisha?.
Sent using Jamii Forums mobile app
duh! Hatarii, Mungu awasaidieHali imekua ikijirudia kila mwaka, hawa sio wale wanaotoka maeneo yanayokumbwa na ukame, hawa ni watu kutoka maeneo ya Rift valley.
Kenya mbona hamjipangi kila wakati ni matatizo yasiyokwisha?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kenge mkubwa wewe
Hali imekua ikijirudia kila mwaka, hawa sio wale wanaotoka maeneo yanayokumbwa na ukame, hawa ni watu kutoka maeneo ya Rift valley.
Kenya mbona hamjipangi kila wakati ni matatizo yasiyokwisha?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu siyo bure ama anamatatizo ya kisaikolojia au anajaribu kuficha upungufu mkubwa kwake kwa kumshambulia jirani.Lakini kusema ukweli huyu jamaa joto la jiwe hunishangaza sana, kila siku lazima awe wa kwanza kurepoti kuhusu Kenya. Duuuh! Tembea kule KT utazema kama Wakenya hujihusu na mambo ya tz. Acheni chuki majamaa.