Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀 Offcourse, bila kunitaja kauzi kako ka umbea hakatanoga. Ila unafaa ujue kwamba hizo blog uchwara(Tuko na wenzao), ambazo huwa zinasomwa na mahouse girl zimekubeba malenge sana. Labda wamekukanganya kwasababu wametumia KES na sio hela za madafu Tzshs. Chupi ya 20KES? Afadhali wangesema soksi, moja. [emoji38] Anyway, hii ndio taswira huko kwenu Magufulistan, baada ya mfalme wa Chato kuwaambia kwamba 'kauongonjwa kadogo' kataangamizwa kwa maombi.Jamaa anauza moja kwa Ksh 20. Wateja inasemekana ni wengi tu kama akina pingli-nywee na wengineo.
Mbona unaanza kuweweseka?😀😀😀 Ofcourse, bila kunitaja kauzi kako ka umbea hakatanoga. Ila unafaa ujue kwamba hizo blog uchwara(Tuko na wenzao) ambazo huwa zinasomwa na mahouse girl Kenya zimekubeba malenge sana. Labda wamekukanganya kwasababu wametumia KES na sio hela za madafu Tzshs. Chupi ya 20KES? Afadhali wangesema soksi, moja. [emoji38] Anyway, hii ndio taswira huko kwenu Magufulistan, baada ya mfalme wa Chato kuwaambia kwamba 'kauongonjwa kadogo' kataangamizwa kwa maombi.![]()
Nimekujibu kwasababu umenitag jombaa. Nakufahamisha tu, lakini natumai kina dada zetu watakuja kutueleza zaidi. Najua hujatia mguu wako nje ya Tandale ila chupi kwa KES20, labda maigizo. Acha kuwaza uccm 24/7, wahamasishe hawa watz wenzako, ili waache mzaha kwenye suala linalohusu uhai wao.Mbona unaanza kuweweseka?
Leo nimekuona unakatiza mitaa ya Murang'a na begi lako limejaa barakoa, duh.Nimekujibu kwasababu umenitag jombaa. Nakufahamisha tu, lakini natumai kina dada zetu watakuja kutueleza zaidi. Najua hujatia mguu wako nje ya Tandale ila chupi kwa KES20, labda maigizo. Acha kuwaza uccm 24/7, wahamasishe hawa watz wenzako, ili waache mzaha kwenye suala linalohusu uhai wao.![]()
Wewe habari zako unaziokotanga wapi?Ni huko Murang'a, hawa nyang'au akili zao wanazijua wenyewe.
View attachment 1420305
Chanzo cha habari.
Wala hazijaokotwa ni ukweli mtupu 😂😂😂Wewe habari zako unaziokotanga wapi?
Ni huko Murang'a, hawa nyang'au akili zao wanazijua wenyewe.
View attachment 1420305
Chanzo cha habari.
Kwendraa!Wewe kichaa wa Lumumba,kwanini unawatukana Wakenya,wamekukosea nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tusitishane'' 😂😂😂Ni huko Murang'a, hawa nyang'au akili zao wanazijua wenyewe.
View attachment 1420305
Chanzo cha habari.
Wakenya wanavyo penda arufu ya mafiii hizo chupi lazima watazigombeaJamaa anauza moja kwa Ksh 20. Wateja inasemekana ni wengi tu kama akina pingli-nywee na wengineo.
simple. If you are not intelligent you will not survive well in Kenya.Ni huko Murang'a, hawa nyang'au akili zao wanazijua wenyewe.
View attachment 1420305
Chanzo cha habari.
Wajinga nyinyi.simple. If you are not intelligent you will not survive well in Kenya.