Mashamba ya Maua yanajulikana weka Website hapa ya Shamba la Maua la native Kenyan!
watz wengi hujifanya wanaijua Kenya sana, hebu bofya hii link hapaMashamba ya Maua yanajulikana weka Website hapa ya Shamba la Maua la native Kenyan!
I find it hard to believe that a black person would talk of another with such contempt! I seriously hope wewe ni mzungu, mwarabu or just something in the mix.....Acha blah blah nionyeshe Shamba la Maua la black Kenyan!
watz wengi hujifanya wanaijua Kenya sana, hebu bofya hii link hapa
www.nation.co.ke/business/seedsofgold/Micah-Cheserem-on-his-roses/2301238-2600174-udgjk6/index.html
I find it hard to believe that a black person would talk of another with such contempt! I seriously hope wewe ni mzungu, mwarabu or just something in the mix.....
Hakuna mwenye wivu hapo, maana hata sisi tunafanya mengi tu yenye tija bila kufanya mayowe mob mitandaoni.Heko Kenya!!
Waswahili tuna maneno ya kejeli yaani kila kitu ni kudiss tu hamna criticism ambayo ni constructive zote zimejaa wivu, husda na kijicho.
Hapa ndio namkumbuka mwl nyerere alisisitiza na kufundisha kwamba Afrika ni moja na waafrika wote ni ndugu zangu regardless their location, ages, tribe, colour e.t.c naona hiyo sense inapotea kwa kasi saana Africa.
Hamna kitu nyie, njaa na funza na umaskini wa kufa mtu,Tungekua wazembe na wasiokua na elimu haka kainchi ketu kadogo kasiokua na raslimali ambapo nusu yake ni kame tupu hakangetawala ukanda wote wa Afrika Mashariki na Kati.
I find it hard to believe that a black person would talk of another with such contempt! I seriously hope wewe ni mzungu, mwarabu or just something in the mix.....
Hakuna mwenye wivu hapo, maana hata sisi tunafanya mengi tu yenye tija bila kufanya mayowe mob mitandaoni.
Tatizo ni pale jamaa wanapoleta habari zao humu kama kutambishia as if we give shit on it.
Fuatilia nzuzi zao humu. Haya majamaa ni brainless enlarged heads.
Hamna kitu nyie, njaa na funza na umaskini wa kufa mtu,
Tungekua wazembe na wasiokua na elimu haka kainchi ketu kadogo kasiokua na raslimali ambapo nusu yake ni kame tupu hakangetawala ukanda wote wa Afrika Mashariki na Kati.
Mnamtawala nani hasa? Huko Migingo ndugu zenu wako chini ya Jeshi la Uganda.
Nyinyi enda mung'ang'ane na Malawi! Usiongee usilolijua hapaMnamtawala nani hasa? Huko Migingo ndugu zenu wako chini ya Jeshi la Uganda.
Acha blah blah nionyeshe Shamba la Maua la black Kenyan!
View attachment 443637hili hapa shamba!
Baada ya kumaliza mashamba yenu mmehamia Rwanda kwenda kumaliza yao?