Wakenya waanza ukulima wa maua Rwanda kwa kishindo

Eeeh... unatakaje??
Depay hulali? Au tukupeleke kwa mkopo Bolton wanderers ndo ujue Man u hatutaki ujinga..badala ya kulala kesho uwahi mapema training sasa umekomaa mtandaoni unabishana na wabongo ambao hata huwajui!?

Kesho training macho mekundu kama umevuta msuba wa arusha!
 

Hahahaha... nipo nipo. Nawatch Real M vs Borrussia D
 
Hahaha... wandanganyivu wavivu... hadithi za vijiweni tu. Hama kipya..

Hili la ugandan army kuchukua migingo nalo ni lamitaani pia? Kwakua nalijua muda na pia nimeliahuhudia likijadiliwa na wenye elimu wengi kati ya wakenya KnTv.
 




KENYA COMMERCIAL BANK!!!!!!



 

Sammuel999 , hapo pekundu rekebisha ...Kenya ina ukubwa wa mraba 580 ....elfu na wala siyo 508....
 
Huku bado tunapiga sarakasi za dangote
 
So, what sort of news should we be presenting on the KEnyan News and Politics section? The bad news? The news about despondency? That's the news diet from Kenya u prefer to see presented here, isnt it?

Kama kuna mazuri ambayo yanaendelea Kenya, mbona tusiyaangazie tu? It's not like we are rubbing it on your faces. Si huko Bongo pia kuna mengi mazuri tu yanayoendelea?
Hili lenu naona ni wivu tu.
 
Tuseme hivi hakuna corporate ama investor yeyote aliyewekeza Kenya toka Tanzania? Hivo kumaanisha hii nchi ya Tanzania ni kelele tu?
Mlivyo na roho mbaya kwa wabongo nyie jamaa nani aje huko?
Si mtatutoa roho kabisa, hapa juzi fastjet tu mmewapiga figisu hadi wameachia route,
***** hakuna mtu atakanyaga hapo jehanamu.
 
Mashamba ya Maua yanajulikana weka Website hapa ya Shamba la Maua la native Kenyan!
Wewe nawe unashinda ukiglorify wazungu, imekuwa sasa ni aibu! Wewe mbona unaomba uonyeshwe mashamba ya waafrika, kwanini wewe usiweke ushahidi ya kuwa hamna waafrika wanaojihusisha na ukulima wa maua?

Hili lako sasa umekuwa ni upuzi na ushenzy.
 
Mna nini nyie cha kuonewa wivu?
 
Mna nini nyie cha kuonewa wivu?
Kama hamna, basi mbona kila mara kutoa povu kila mara mnaposoma mafanikio ya mataifa mengine?
Nimewaona sana nyinyi wabongo,kila mara jambo nzuri kuhusu mataifa mengine majirani yakiwekwa humu, hamchelei kuponda. Hamwatakii mema wrwanda, Waganda, Waethiopia na bila shaka wakenya.

Anayewazuhia kuyatimiza maendeleo hayo ni nani?

Barbarosa, nimesahau kukuarifu ya kwamba, hata kama wakulima hawa ni wazungu, la muhimu ni wakenya, na investments zao zinafaidi pia nchi ya Kenya.
Wivu za kitoto humu.....balaa!
 
Eti wivu kwa Kenya, yaani mbongo aone wivu kwa mkenya.. This is a joke of the month.[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Ukinunua gari lako nzuri tu, kisha upate taarifa kuwa kuna jamaa flani anaeneza uvumi mitaani ya kwamba gari hilo ni "second hand" na lina matatizo, mara si lako, mara umekopeshwa tu, , mara ni ya kampuni, mara blah blah blah.......hilo linaashiria nini?
 
Mashamba ya Maua yanajulikana weka Website hapa ya Shamba la Maua la native Kenyan!
Got roses this Valentine's Day? They probably came from Kenya

More than 500,000 people in the country depend on the trade according to the Kenya Flower Council, with roughly half of the country's 127 flower farms concentrated around Lake Naivasha, around 90 kilometers northwest of Nairobi.

Source: Why Kenya is the flower garden of Europe - CNN.com

 
Mashamba ya Maua yanajulikana weka Website hapa ya Shamba la Maua la native Kenyan!
KFC Profile


Kenya Flower Council......check out the membership, if it comprises only white people.
Some things some of u Tanzanians say here.......very retarded!
 
Eti wivu kwa Kenya, yaani mbongo aone wivu kwa mkenya.. This is a joke of the month.[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Wabongo waja huku Kajiado Wamejaa eti wanajidai waganga! Kwani hamja somea kitu kingine kando na Uganga? Eti doctor Kibisa Kibisa wanajaribu kulaghai wakenya na Uganga tuliwajua kitambo nenda shule kasome mje Kenya kutafuta kazi sio kuleta Uganga huku!
 
Tungekua wazembe na wasiokua na elimu haka kainchi ketu kadogo kasiokua na raslimali ambapo nusu yake ni kame tupu hakangetawala ukanda wote wa Afrika Mashariki na Kati.
Kenya mnamtawala nani apa eac. .wacha pumba broo!!
Kenya mnann?nonsense
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…