Wakenya waendelea kukimbilia Tanzania wakihofia njaa na Corona nchini mwao

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617
Wakenya wengi wameendelea kuvuka mpaka kwa njia za panya na kukimbilia Tanzania kwa kuhofia ugonjwa wa Corona na njaa.

Takriban wakenya 20 toka kaunti ya Kwale ambayo ni miongoni mwa majimbo manne yaliyokumbwa na ugonjwa wa Corona, na ambalo lipo chini ya " lockdown " wamevuka mpaka wa Horohoro kwa njia za panya na kukamatwa nchini Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…