wakenya wafungia kiswahili class AUSTRALIA, KENYA

wakenya wafungia kiswahili class AUSTRALIA, KENYA

waltham

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2014
Posts
2,522
Reaction score
1,045
[h=5]Monday, June 9, 2014[/h] [h=1]Kenyan opens Kiswahili School in Australia[/h]


0

Print

pupils.jpg
Young boys and girls at the Kiswahili School in Adelaide Australia. Photo/Courtesy
advertisement


By Kenyan embassy in Adelaide, Australia, www.kenya.asnGeoffrey Baraka and a team of Kenyans born and living in Australia have opened a school in Adelaide that focuses on the use of Kiswahili as a foreign language.

participants.jpg

Visitors at the Kiswahili School. Photo/COURTESY


cake.jpg


geoffrey.jpg


advertisement
 
Nawapeni siri moja ... mkenya hapendi kiswahili Kenya lakini akiwa Nje ndo lugha anayojinasibisha nayo na kuna nchi ukiongea kiswahili wanakuuliza wewe ni Mkenya mfano ni Dubai.... Siku moja kwenye ndege ya Fly dubai airhoster mmoja mweusi alitangaza ... humu tunawasiliana kwa lugha zfiuatazo... kiigereza .. kihindi. kiarabu... na akamalizia na KISWAHILI..aaliponikaribia nikamuuliza ndugu wajua kiswahili akasema aaahhh wewe watoka TZ sio ...ndio najua kiswahili mimi ni Mkenya. sis sasa mtu akipanda ndege tu baaaas keshakuwa mzungu!!!!
 
Back
Top Bottom