joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Wakenya wameanza kuhoji serikali yao iwape maelezo ya kina kuhusu vigezo vilivyotumika kuisafisha Tanzania kutoka nchi ambayo siku zote serikali ya Kenya imekua ikisema kwamba imeathiriwa sana na maambukizi ya virusi vya Corona.
Viongozi wa Kenya wakiongozwa na rais Uhuru Kenyatta wamekua wakiwaeleza na kuwaaminisha wakenya na dunia nzima kwamba watanzania wengi wameambukizwa Corona na Hospital za Tanzania zimejaa wagojwa wa Corona na maiti zimezagaa mitaani.
Kenya ilifunga mipaka yake ya Somalia na Tanzania kwa madai ya kuwakinga wakenya kutokana na maambukizi yanayotokea katika hizo nchi za Somalia na Tanzania.
Wiki chache zilizopita, rais Uhuru Kenyatta wakati akilihutubia taifa la Kenya kuhusu hali ya maambukizi ya Corona, aliwaonya wakenya kuacha kujilinganisha na nchi ambazo zinaficha taarifa za hali ya maambukizi nchini kwao, kwasababu nchi hizo zimeathirika zaidi kuliko Kenya na watu wanakufa kila siku na kuzikwa usiku.
Waziri Macharia na waziri Kagwe kwa wakati tofauti wamesikika wakisisitiza kwamba, watanzania hawatoruhusiwa kuingia Kenya bila kupimwa au kukaa siku 14 za karantini nchini Kenya.
Jambo lililowastua wakenya ni kitendo cha serikali yao kuiweka Tanzania katika orodha ya nchi salaam na kuwaruhusu watanzania kuingia Kenya bila masharti yoyote bila kuwaeleza na kuwatoa hofu walioijenga ndani ya wakenya dhidi ya watanzania.
Soma comments za Wakenya chini ya hii habari.
Kenya reopens its skies to Tanzania in the latest review
Viongozi wa Kenya wakiongozwa na rais Uhuru Kenyatta wamekua wakiwaeleza na kuwaaminisha wakenya na dunia nzima kwamba watanzania wengi wameambukizwa Corona na Hospital za Tanzania zimejaa wagojwa wa Corona na maiti zimezagaa mitaani.
Kenya ilifunga mipaka yake ya Somalia na Tanzania kwa madai ya kuwakinga wakenya kutokana na maambukizi yanayotokea katika hizo nchi za Somalia na Tanzania.
Wiki chache zilizopita, rais Uhuru Kenyatta wakati akilihutubia taifa la Kenya kuhusu hali ya maambukizi ya Corona, aliwaonya wakenya kuacha kujilinganisha na nchi ambazo zinaficha taarifa za hali ya maambukizi nchini kwao, kwasababu nchi hizo zimeathirika zaidi kuliko Kenya na watu wanakufa kila siku na kuzikwa usiku.
Waziri Macharia na waziri Kagwe kwa wakati tofauti wamesikika wakisisitiza kwamba, watanzania hawatoruhusiwa kuingia Kenya bila kupimwa au kukaa siku 14 za karantini nchini Kenya.
Jambo lililowastua wakenya ni kitendo cha serikali yao kuiweka Tanzania katika orodha ya nchi salaam na kuwaruhusu watanzania kuingia Kenya bila masharti yoyote bila kuwaeleza na kuwatoa hofu walioijenga ndani ya wakenya dhidi ya watanzania.
Soma comments za Wakenya chini ya hii habari.
Kenya reopens its skies to Tanzania in the latest review