MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Hehehe!! Ipo siku mtakuja kubali haka kainchi ketu sio ka kawaida, ukanda huu hakuna size yetu.
Yaani mbio zifanyike kwenu, Wakenya waalikwe kama wageni tu lakini waje na kufunika kuanzia namba moja hadi kumi, halafu naangalia majina yao hapa, hakuna mkimbiaji wa kutajika Kenya ambaye alihusika, hii sijui ni timu B au C au H
Itabidi watani mzungushe ukuta mlima Kilimanjaro ili mzuie Wakenya kuja na kuchukua kila kitu
----------------------------------------
Kilomita 42
1. Cosmas Muteti- Kenya
2. Elkana Yego- Kenya
3. George Onyancha- Kenya
4. William Koskei- Kenya
5. Kipngetich Timbwol- Kenya
6. Francis Nzyoki- Kenya
7. Stephen Kimbomet- Kenya
8. Stephen Cimemin Njogu- Kenya
9. Evans Taiget- Kenya
10. Mark Lukuya- Kenya
Leo Jumapili Machi, 4 2018 yamefanyika mashindano ya riadha mkoani Kilimanjaro ambayo ni maarufu kwa Kili Marathon ambayo hufanyika kila mwaka.
Mashindano haya hushirikisha watu kutoka mataifa mbalimbali, ambapo wale wote ambao hufanya vizuri hupewa zawadi, wakati wengine hupewa medali ikiwa ni ishara kwa walishiriki mbio
Kwa mwaka 2019, mbio hizo zinatarajiwa kutimua vumbi Jumapili Machi 3, 2019
Kenya yaigaragaza Tanzania Kili Marathon 2018. Haya hapa majina ya washindi
Yaani mbio zifanyike kwenu, Wakenya waalikwe kama wageni tu lakini waje na kufunika kuanzia namba moja hadi kumi, halafu naangalia majina yao hapa, hakuna mkimbiaji wa kutajika Kenya ambaye alihusika, hii sijui ni timu B au C au H
Itabidi watani mzungushe ukuta mlima Kilimanjaro ili mzuie Wakenya kuja na kuchukua kila kitu
----------------------------------------
Kilomita 42
1. Cosmas Muteti- Kenya
2. Elkana Yego- Kenya
3. George Onyancha- Kenya
4. William Koskei- Kenya
5. Kipngetich Timbwol- Kenya
6. Francis Nzyoki- Kenya
7. Stephen Kimbomet- Kenya
8. Stephen Cimemin Njogu- Kenya
9. Evans Taiget- Kenya
10. Mark Lukuya- Kenya
Leo Jumapili Machi, 4 2018 yamefanyika mashindano ya riadha mkoani Kilimanjaro ambayo ni maarufu kwa Kili Marathon ambayo hufanyika kila mwaka.
Mashindano haya hushirikisha watu kutoka mataifa mbalimbali, ambapo wale wote ambao hufanya vizuri hupewa zawadi, wakati wengine hupewa medali ikiwa ni ishara kwa walishiriki mbio
Kwa mwaka 2019, mbio hizo zinatarajiwa kutimua vumbi Jumapili Machi 3, 2019
Kenya yaigaragaza Tanzania Kili Marathon 2018. Haya hapa majina ya washindi