Wakenya wamcharukia Rais wao kwa kuongea kilugha (Kikuyu)redioni

Wakenya wamcharukia Rais wao kwa kuongea kilugha (Kikuyu)redioni

May Day

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2018
Posts
6,311
Reaction score
9,027
Wiki moja iliyopita Rais Uhuru alienda kwenye moja ya Redio na kufanya mahojiano kwa lugha ya Kikuyu mwanzo mwisho, jambo ambalo limewaacha Wakenya wengi njia panda.

Na mijadala inaendelea kumzodoa Raisi.
 
Back
Top Bottom