Wakenya wameanza Kampeni na vijembe wakati uchaguzi 2022 wakitwangana awamu hii hatwendi kuamua

Status
Not open for further replies.

mockers

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2013
Posts
12,843
Reaction score
35,442
Wakuu.
hawa jamaa wameanza kampeni mapema na kurushiana maneno mara ruto mara raila.
mjue kabisa tuko busy kujenga viwanda mkitwangana hamtotuona tukija kuamua chochote huko kwenu.
 
watapigana biti tu ila sio kutwamgana au hata wakitwangana itakua sio kama ilivyokuwa kipindi kile. Saivi heshima imerudi katiba imepewa meno kidogo na mahakama zinaonekana zinanguvu.
 
watapigana biti tu ila sio kutwamgana au hata wakitwangana itakua sio kama ilivyokuwa kipindi kile. Saivi heshima imerudi katiba imepewa meno kidogo na mahakama zinaonekana zinanguvu.
wakitwangana itakula kwao awam hii hatuna muda nao sisi watajuana wenyewe.
 
wasitusumbue tunajenga viwanda na wazee wetu wapumzike kidogo baada ya kazi nzito. maana wakenya wanaaza hivo hivo mwisho wanauwana
Hapana mkuu hatujengi viwanda maana vinachukua mda sana watuache sisi tunanunua korosho watuache kidogo na wabanguzi ni wanajeshi
 
Wakuu.
hawa jamaa wameanza kampeni mapema na kurushiana maneno mara ruto mara raila.
mjue kabisa tuko busy kujenga viwanda mkitwangana hamtotuona tukija kuamua chochote huko kwenu.
We uko nyuma ya dunia.
Kaaa tu utie.
Hata hujui nini itakuwa.
Rutto atasubiri sana.
 
Wakuu.
hawa jamaa wameanza kampeni mapema na kurushiana maneno mara ruto mara raila.
mjue kabisa tuko busy kujenga viwanda mkitwangana hamtotuona tukija kuamua chochote huko kwenu.
Kenya inaenda vizuri and we should play for them .Kama unafatilia siasa zao juzi tu kwenye msiba wa baba yake KILONZO unaona jinsi walivyo kwenye government of national unit ingawaje kuna ukakasi kati ya Gideon moi na vp Ruto but everyday vitu vinaonekana positive.Ni jirani zetu na tuko wote eala let's wish them success!!!!
 
Kuanza kampeni mapema ni jambo zuri sana. Wapigakura wanapata fursa ya kuwajua vizuri wagombea. na kumtathmini kila mmoja kuhusu uwezo na udhaifu aliokua nao

Mambo ya kusubiri siku chache kabda ya uchaguzi ndio watu wanaanza kutangaza nia na kupiga kampeni inapelekea wananchi kupata kiongozo/viongozi bomu ambao wengine walikua hawana hata wito wa kuwatumikia Watanzania bali ile tu kusukumizwa wakajikuta washapata nafasi
 
hawajaanza rasmi ndiyo maana president Uhuru anamtolea povu sana vp Ruto anamwambia its time ya kufanya waliyohaidi kwa wananchi ila shida ni Gidion moi anaonyesha interest ya kugombea na ana nguvu ya baba yake na support kubwa kwahiyo inamkwaza sana Ruto amekuwa mdogo
 
Play = pray

Unit = unity
 
Wakuu.
hawa jamaa wameanza kampeni mapema na kurushiana maneno mara ruto mara raila.
mjue kabisa tuko busy kujenga viwanda mkitwangana hamtotuona tukija kuamua chochote huko kwenu.
hao jamaa kila mtu anawaza uchaguzi wakati wote
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…