Wakenya wameanzisha meme za Kasongo kumpasha rais wao, je Watanzania wana nini cha kumnanga rahis wao?

Wakenya wameanzisha meme za Kasongo kumpasha rais wao, je Watanzania wana nini cha kumnanga rahis wao?

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
Naomba upendekeze memes unazodhani zinafaa kupeleka salamu kwa rahis wetu kistaarabu ili ajue nasi tuna akili mbali na mawazo yetu ambayo yanaweza kumsaidia kurekebisha au kuboresha mambo. Namshukuru rais kwa fursa hii 😀 😀 😀 😀 😀 😀.
Je wewe unasemaje mwanangu?
 
Huko kubaya huko, usiende huko
1000016216.jpg
 
Huyu ana chawa wake wa kuwasikiliza ndiyo maana huwezi kuona anafanya midahalo sababu anajua hawana uwezo wa kujibu hoja
 
Naomba upendekeze memes unazodhani zinafaa kupeleka salamu kwa rahis wetu kistaarabu ili ajue nasi tuna akili mbali na mawazo yetu ambayo yanaweza kumsaidia kurekebisha au kuboresha mambo. Namshukuru rais kwa fursa hii 😀 😀 😀 😀 😀 😀.
Je wewe unasemaje mwanangu?
Itafanya vijana wapate ajira? punguzeni ujinga
 
Back
Top Bottom