Wakenya wana pesa kweli

Wakenya wana pesa kweli

run CMD

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2015
Posts
3,185
Reaction score
3,909
Asubuhi kuna fundraising ilianza kiutani huko M-Changa nikaona wameweka target Milion 10 ya Kenya sawa na kama milioni 200 ya Tz Kwa ajili ya kutibu walipata majeraha Jana..

Jioni hii nikusema ngoja nikaone zimefika ngapi kucheki duuh wameshapita Ile target na ilikuwa ni ya siku 26 bado siku 25


Screenshot_20240626-215706.png
 
Back
Top Bottom