Wakenya wanadai Mbwana Samatta ni raia wa Kenya

Wakenya wanadai Mbwana Samatta ni raia wa Kenya

mrangi

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2014
Posts
88,759
Reaction score
123,368
Hivi nyie wakenya mnatutakia nini?
Semeni basi madushe yetu yote ni Mali zenu
Uzi tayari
MK254

Ova


IMG-20200118-WA0024.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiona hivyo ujue hawana cha kujivunia
 
Hahaha! [emoji1] Tulieni, kwani ni uongo? Anafanana sana na watu wa Kakamega, sio kwa pua lake hilo la Omwami. [emoji38]
 
Kisa wanyama anasugua sana benchi hadi kaota misumari
Ofcourse ukizingatia Origi ni Mbeligiji aliyezaliwa Ubelgiji na kukulia Ubelgiji kitu anacho-share na Kenya ni jina tu!
Ukiona hivyo ujue hawana cha kujivunia
Hebu pitieni hii orodha kwenye hii link muone wakenya zaidi ya 20 ambao wanacheza soka kwenye ligi za 'majuu'. Shida watz huwa mnaingiza stress zenu hadi kwenye utani. Ndio maana jina comedy kwenu ni msamiati wa kujiuma ulimi. Kenya Footballers abroad, Europe
 
Back
Top Bottom