Ofcourse ukizingatia Origi ni Mbeligiji aliyezaliwa Ubelgiji na kukulia Ubelgiji kitu anacho-share na Kenya ni jina tu!Ukiona hivyo ujue hawana cha kujivunia
Ni watu wenye tamaa na roho mbaya, ubepari umewafanya wadhani kila kitu kizuri ni chao.Ukiona hivyo ujue hawana cha kujivunia
Kisa wanyama anasugua sana benchi hadi kaota misumari
Ofcourse ukizingatia Origi ni Mbeligiji aliyezaliwa Ubelgiji na kukulia Ubelgiji kitu anacho-share na Kenya ni jina tu!
Hebu pitieni hii orodha kwenye hii link muone wakenya zaidi ya 20 ambao wanacheza soka kwenye ligi za 'majuu'. Shida watz huwa mnaingiza stress zenu hadi kwenye utani. Ndio maana jina comedy kwenu ni msamiati wa kujiuma ulimi. Kenya Footballers abroad, EuropeUkiona hivyo ujue hawana cha kujivunia
Samatta ana kichwa round kama la mluhya
Baba yake anayeitwa Ali Samatta, mwaka 1969 alichezea Sunderland (sasa Simba) ambayo ni ya Kenya pia.Hahaha! [emoji1] Tulieni, kwani ni uongo? Anafanana sana na watu wa Kakamega, sio kwa pua lake hilo la Omwami. [emoji38]
Samatta ana kichwa round kama la mluhya