Wakenya wanaofanya kazi Tanzania ndio wanaotuma pesa nyingi Kenya (remittances) kwa Afrika nzima

Wakenya wanaofanya kazi Tanzania ndio wanaotuma pesa nyingi Kenya (remittances) kwa Afrika nzima

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617


MY TAKE; Uchumi wa Kenya hutegemea Sana "remittances", zaidi ya $3B huingia Kenya kila mwaka. Remittances zinazidi Pato la Utalii na Pato la mauzo ya maua kwa pamoja.

Remittances toka Tanzania ndio zinazoongoza kwa Afrika, hii maana yake ni kwamba, uchumi wa Kenya unategemea Sana mahusiano mazuri ya Kenya na Tanzania, hii ndio sababu kubwa ya wakenya kumkubali Sana mama Samia kwasababu ameshikilia hatma ya uchumi wa Kenya.

Bila ya Tanzania, uchumi wa Kenya unasambaratika
Tony254
dyfre
Don YF
NairobiWalker
 
Wakenya wana akili sana nenda maeneo yote yenye financial potentials wapo. Mafinga(Mbao) wapo, Njombe na Rungwe(Avocado) wapo, na wameanza kujenga na viwanda vya ku-process Avocado wabongo tuko JF na Twitter tunasifia makalio makubwa kuretweet na kulana kimasihara. Acha wavune.
 

MY TAKE; Uchumi wa Kenya hutegemea Sana "remittances", zaidi ya $3B huingia Kenya kila mwaka. Remittances zinazidi Pato la Utalii na Pato la mauzo ya maua kwa pamoja.

Remittances toka Tanzania ndio zinazoongoza kwa Afrika, hii maana yake ni kwamba, uchumi wa Kenya unategemea Sana mahusiano mazuri ya Kenya na Tanzania, hii ndio sababu kubwa ya wakenya kumkubali Sana mama Samia kwasababu ameshikilia hatma ya uchumi wa Kenya.

Bila ya Tanzania, uchumi wa Kenya unasambaratika
Tony254
dyfre
Don YF
NairobiWalker

Remittance ya $3M?😂😂🤣😂
 
Wakenya wana akili sana nenda maeneo yote yenye financial potentials wapo. Mafinga(Mbao) wapo, Njombe na Rungwe(Avocado) wapo, na wameanza kujenga na viwanda vya ku-process Avocado wabongo tuko JF na Twitter tunasifia makalio makubwa kuretweet na kulana kimasihara. Acha wavune.
Umepea joto la jiwe uppercut 😂😂🤣
 


MY TAKE; Uchumi wa Kenya hutegemea Sana "remittances", zaidi ya $3B huingia Kenya kila mwaka. Remittances zinazidi Pato la Utalii na Pato la mauzo ya maua kwa pamoja.

Remittances toka Tanzania ndio zinazoongoza kwa Afrika, hii maana yake ni kwamba, uchumi wa Kenya unategemea Sana mahusiano mazuri ya Kenya na Tanzania, hii ndio sababu kubwa ya wakenya kumkubali Sana mama Samia kwasababu ameshikilia hatma ya uchumi wa Kenya.

Bila ya Tanzania, uchumi wa Kenya unasambaratika
Tony254
dyfre
Don YF
NairobiWalker

Sasa kama hamuinvest nchi za nje mtapataje remittances?
 
Sasa kama hamuinvest nchi za nje mtapataje remittances?
Remittances ni kwajili ya nchi ambazo uchumi wake hauna mizizi Kama Kenya, Sasa Kama Kuna madini, gas, ardhi nzuri na yakutosha kwa kilimo na ufugaji, maziwa na mito ya kutosha, Amani na usalama, vipi uviache vyote hivyo ukimbilie nchi za hovyo?,
 
Remittances ni kwajili ya nchi ambazo uchumi wake hauna mizizi Kama Kenya, Sasa Kama Kuna madini, gas, ardhi nzuri na yakutosha kwa kilimo na ufugaji, maziwa na mito ya kutosha, Amani na usalama, vipi uviache vyote hivyo ukimbilie nchi za hovyo?,
You still have to invest to grow wealthy. Many rich countries have all those yet they still invest in foreign countries.
 
Remittance siyo profit repatriation to country of origin. Hiyo ni pesa inayotumwa na vibarua/wafanyakazi walio nje ya nchi yao. Umeelewa wewe bricks and mortar engineer!!?
You don't know anything about remittance.

Data on remittances.png
 
You still have to invest to grow wealthy. Many rich countries have all those yet they still invest in foreign countries.
No rich country which depends on remittances, they depend on "investments", working in UAE as house girls or watchman for the sake of getting money to feed your family back home, is that investment?
 
You don't know anything about remittance.

View attachment 2188947
You are the one who don't know anything about "remittances", remittances is not the same as the profit from investment, do you want to tell us that, all 524 Kenyan companies that are in Tanzania sent only $50M back home Kenya as a profit?
 
Technical tukifunga mipaka Kenya ina-collapse!
Upuuzi mtupu. Kenya inaexport to Uganda kushinda Tanzania. Kenya inazitegemea nchi hizi for its export market na hutasikia Kenya ikizozana na hizi nchi nne kwa maana tunawategemea sana kwa sababu wananunua bidhaa zetu kwa sana.
1 UK(vegetables, tea and flowers),
2. Netherlands (vegetables and flowers),
3. Pakistan (tea)
4. USA (textiles)
 
You don't know anything about remittance.

View attachment 2188947
Kuna mtu hapa reasoning yake kuhusu remittance iko chini sana. Anadhani watu wanaotuma remittance ni house girls pekee. Hakuna engineers au madaktari wanaotuma remittance. Low iq inawasumbua. Halafu Wakenya wengi ambao wanaishi nje ya nchi hawatumi pesa ya chakula pekee bali hata pesa ya investments na wananunua shamba na kujenga majumba pia. Remittance sio tu ya daily consumption. Na school fees ya watoto utaiita daily consumption au ni investment? Of course ni investment. Investment is a broad term. Lakini akili mgando anadhani investment ina maana moja tu. Kwake kujenga factories ndio investment pekee anayojua. Anyway, hii debate mimi niliiwacha coz the level of IQ of the people on the other side is too low.
 
halafu wakenya wanakubali malipo kiduchu sana kwenye ajira tofauti na watanzania
 
Back
Top Bottom