Wakenya wanaokaa nje ya Nchi wapiga kula kwenye Balozi zao

Wakenya wanaokaa nje ya Nchi wapiga kula kwenye Balozi zao

Sumasuma

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2011
Posts
342
Reaction score
110
Hii nimeipenda sana , naomba watanzania tuige , watanzania wanaokaa nje ya Nchi nao wapewe Ruksa ya kupiga kula kwenye mabalozi yao kuwachagua viongozi kwenye Nchi yao. haya ni maendeleo kwa wakenya.
 
navyojua me mabalozi wa Bongo nchi za nje ni kama makatibu waenezi wa ccm............ sasa kama wao ndo watakuwa wasimazi wa kupiga/kuhesabu kura sijui tutegemee nini??
ila mfumo ukikaa vizuri italeta haki kwa wote....................
 
Hii nimeipenda sana , naomba watanzania tuige , watanzania wanaokaa nje ya Nchi nao wapewe Ruksa ya kupiga kula kwenye mabalozi yao kuwachagua viongozi kwenye Nchi yao. haya ni maendeleo kwa wakenya.

Hii ni East Africa peke yake...wliopo nje ya hapo hawana kupiga kura wala nini!
 
Hii ni East Africa peke yake...wliopo nje ya hapo hawana kupiga kura wala nini!


yaa ni kweli, lakini This is a good Start ,nilikuwa nasikiliza BBC , Tume ya uchaguzi wa kenya wanasema kwa sasa wameanzia na East Africa. lakini kadri miaka inavyokwenda watafika sehemu mbalimbali duniani,ambako kuna balozi zao.
 
navyojua me mabalozi wa Bongo nchi za nje ni kama makatibu waenezi wa ccm............ sasa kama wao ndo watakuwa wasimazi wa kupiga/kuhesabu kura sijui tutegemee nini??
ila mfumo ukikaa vizuri italeta haki kwa wote....................

kweli mkuu,nimekuelewa kwa sas tuangalie jinsi ya kubolesha hizo balozi zetu,ili tuweke mazingira ya HAKI. Katiba yetu impya naomba iangalie hili suala.
 
Hii nimeipenda sana , naomba watanzania tuige ,
tanzania kichwa cha mwendawazimu, yani kila kitu tunataka wenzetu waanzishe halafu sisi tuige, sera ya majimbo tunasema itatugawa eti mbona kenya na uganda hawana hiyo system ko tunawasubiri wakenya waanzishe. Si ajabu kusikia mapoyoyo wanaandamana kwenda ubalozi wa UK kisa mzungu kamwambia ukweli bosi wao kuwa ni jambazi, wanataka kumlamba miguu jk
 
Ok natumai kweli nasi tuige na mengine tuanzishe wenyewe tusisubiri wenzetu eti waanze ndio tuige.Na ukwelu mabalozi wetu nje ni kama mawakala wa ccm
 
Back
Top Bottom