Wakenya wanapukutika kwa Corona jamani

Ambacho nmegundua kwa waliopitiwa na corona baadae wakapata nafuu siku ubeligiji inapiga lockdown wote kama sio baadhi yao vifua vilikuwa vimebana au walikuwa na mafua ya hapa na pale kama umepitia hali hiyo ndani ya wiki mbili hizi basi ujue ndicho kilichokua kinaendelea sehemu nyinginezo za dunia.
 
Hawa so wamefunga na hospitali kisa watumishi wamekutwa na Corona,
 
Week ya pili sasa kila siku wanakufa zaidi ya 30 per day

Rais wao yupo nje kuomba misaada zaidi ya kugharamia matibabu
Angelonga tuu na uncle magu ampe pepo 1 la kuondoa hilo janga
 
Ugonjwa wa korona bado ungali siri ya wenyewe. Wakati mwingine kitendo cha hii nchi jirani kukubali tu ushauri wa wale jamaa, bila shaka kimechangia sana kuwalipua zaidi. Ndiyo maana JPM sasa anaitwa Rais wa Dunia mwenye maono pevu.
 
Yani huoni hata aibu kuongopea wenzako, tena km wa type huaga unasoma ulichokiandika kwanza au unakurupuka tu ju post
Ameweka ushahidi bado unasema anaongopa, ama kweli wakenya sasa hivi mumefika mwisho wa kujitetea.
 
Yani huoni hata aibu kuongopea wenzako, tena km wa type huaga unasoma ulichokiandika kwanza au unakurupuka tu ju post
Nilichoongopa nini sasa?

Kwani mimi ndio hayo magazeti yaliyosema mmefilisika na mnaomba msaada wa pesa za matibabu?

Mimi ndio wizara yenu ya afya inayotangaza kila siku mnapukutika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…