Acha uongo banaWeek ya pili sasa kila siku wanakufa zaidi ya 30 per day
Rais wao yupo nje kuomba misaada zaidi ya kugharamia matibabu
Yani huoni hata aibu kuongopea wenzako, tena km wa type huaga unasoma ulichokiandika kwanza au unakurupuka tu ju post.Uongo upo wapi wakati mmeshakopa tayari leo na gazeti lenu linakiri mmefilisika
View attachment 1620243
Duh...Week ya pili sasa kila siku wanakufa zaidi ya 30 per day
Rais wao yupo nje kuomba misaada zaidi ya kugharamia matibabu
Angelonga tuu na uncle magu ampe pepo 1 la kuondoa hilo jangaWeek ya pili sasa kila siku wanakufa zaidi ya 30 per day
Rais wao yupo nje kuomba misaada zaidi ya kugharamia matibabu
Kumbe yupo nje? Hiyo ndio main reason 😂😂Week ya pili sasa kila siku wanakufa zaidi ya 30 per day
Rais wao yupo nje kuomba misaada zaidi ya kugharamia matibabu
Ameweka ushahidi bado unasema anaongopa, ama kweli wakenya sasa hivi mumefika mwisho wa kujitetea.Yani huoni hata aibu kuongopea wenzako, tena km wa type huaga unasoma ulichokiandika kwanza au unakurupuka tu ju post
Nilichoongopa nini sasa?Yani huoni hata aibu kuongopea wenzako, tena km wa type huaga unasoma ulichokiandika kwanza au unakurupuka tu ju post