R rodrick alexander JF-Expert Member Joined Feb 12, 2012 Posts 16,784 Reaction score 23,312 Nov 13, 2020 #41 Poleni majirani napenda muwepo tuendelee kutaniana ila kwa hilo janga nawahurumia mk254 si ajabu kajifungia yuko lockdown hata kucoment anaogopa
Poleni majirani napenda muwepo tuendelee kutaniana ila kwa hilo janga nawahurumia mk254 si ajabu kajifungia yuko lockdown hata kucoment anaogopa
Titicomb JF-Expert Member Joined Jan 27, 2012 Posts 12,823 Reaction score 21,210 Nov 13, 2020 #42 Abigail Nabal said: Ila usikute tunamsema tu rais wao hapa siasa. Oh mlafi kumbe kweli corona ipo. Hali ya hewa ya baridi mda wote ndo tatizo nahisi Poleni wakenya, litapita. Click to expand... Mombasa, Kisumu kuna baridi kuliko kuliko Zanzibar, Tanga, Dar es Salaam, Pwani, Lindi na Mtwara?
Abigail Nabal said: Ila usikute tunamsema tu rais wao hapa siasa. Oh mlafi kumbe kweli corona ipo. Hali ya hewa ya baridi mda wote ndo tatizo nahisi Poleni wakenya, litapita. Click to expand... Mombasa, Kisumu kuna baridi kuliko kuliko Zanzibar, Tanga, Dar es Salaam, Pwani, Lindi na Mtwara?