joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
citizen vs jf member.Watanzania wanalia njaa pia Julai 22 2020
Hali ya maisha kwa wananchi ni mbaya sana. Serikali lazima iliangalie hili suala kwa jicho la tatu
My take; Magufuli akubali Tz imemshinda.
Aise, hivi mipaka imefungawa?sisikii huku mtz akilalamika,yaani, nilikuwa sijui.!,Tangu mipaka ifungwe ni wakenya ndio wanaongoza kwa kulalamika ovyo,
Nakumbuka mwanzoni kabisa kuna masoko ya kenya yalikosa bidhaa baada ya magari kuzuiwa mipakani,
Hapo tena tunaona wananchi wamekosa vyakula baada ya mpaka kufungwa,
Halafu ukiwaambia kuwa Tanzania inalisha Kenya wanabisha huku wakitumia data zisizoendana na hali halisi,
Sijaona Watanzania wakilalamika kwa sababu mipaka imefungwa,
Corona imekuja kutuonesha rasmi nani ni nani hapa EA.
joto la jiwe hutumia akili sana, yeye ndiye aliye kuwa wa kwanza kuweka bayana maamuzi ya kijinga ya kenya kuhusu lockdown, curfew na mengine mengi. Wengi humu hadi mimi mwenyewe sikuelewa uzi wake huu: Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kupambana na kuenea kwa CoronaWeye joto la jiwe huwa sizisomi bandiko zako humu,huwa unaushabiki wa kitoto,ingependeza kama ungelikua mara nyingi na facts na bandiko za kuaminika za kweli ungekua na heshima humu mkuu.
Ushapoteza ushawishi zamani tu.
Ninakushuru Sana kwa kunisaidia kumuelewesha.joto la jiwe hutumia akili sana, yeye ndiye aliye kuwa wa kwanza kuweka bayana maamuzi ya kijinga ya kenya kuhusu lockdown, curfew na mengine mengi. Wengi humu hadi mimi mwenyewe sikuelewa uzi wake huu: Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kupambana na kuenea kwa Corona
Akili zangu zilielewa baada ya miezi miwili!! utakuja kumuelewa tu
Jipe muda utanielewa.Weye joto la jiwe huwa sizisomi bandiko zako humu,huwa unaushabiki wa kitoto,ingependeza kama ungelikua mara nyingi na facts na bandiko za kuaminika za kweli ungekua na heshima humu mkuu.
Ushapoteza ushawishi zamani tu.