Wakenya waomba kuja Tanzania kupata matibabu ya kitaalamu

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617
Wagonjwa toka Kenya wamekuwa wakipiga simu Tanzania ili kuruhusiwa kuja kupata matibabu bingwa katika Hospitali ya Mloganzila ambayo kwa sasa ndiyo Hospitali bora kuliko zote katika ukanda huu wa Afrika Mashariki, kati na kusini mwa Afrika.

Karibuni sana majirani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…