Wakenya wasepa na sneakers za Desiigner

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,128
Reaction score
21,885
Rapper kutoka pande za states mwenye hitsong ya 'Panda' hakuamini kilichomtokea juzi kwenye stage wakati anapiga show baada ya 'makonki' wa Kenya kusepa na raba zake na soksi nakumuacha mchizi akiwa amefura kwa hasira. Shkamoo wakenya....
 
Wakaruka hadi na soksi...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kawaida tu hyo kutokea wakati wa shows

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…