Wakenya washinikiza askari huyu akamatwe

Wakenya washinikiza askari huyu akamatwe

Kenyan

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2012
Posts
414
Reaction score
314
Wakenya kwenye mitandao ya kijamii wametoka rai kwa Inspekta Jenerali wa Polisi Japheth Koome kumkamata askari huyu aliyenaswa na kamera mara tu baada ya kumpiga risasi mtu mmoja kwenye maandamano ya Jumatano katika eneo la Mathare, kaunti ya Nairobi.

Baadhi ya watu katika mtandao wa twitter wamesema wanamfahamu kwa Jina 'Moha' na kwamba kawaida hupatikana katika kituo cha Polisi cha Pangani.

Aidha wengine wamesema kuwa wanamfahamu mke wake vilevile mwenye jina Wanjiku ama Wa Marion.

Idara ya Polisi bado haijatoa tamko lolote tangu Jana ambapo picha hizi zilipoanza kuenea mitandaoni.
k1.jpg

20230719_171851.jpg

k3.jpg
 
Kafanya kazi nzuri sana kumtwanga huyo kibaka aliye kubali kutumiwa na na mkosaji Raila.

Haya sasa, Raila kamfufue mfia wewe.
 
Kafanya kazi nzuri sana kumtwanga huyo kibaka aliye kubali kutumiwa na na mkosaji Raila.

Haya sasa, Raila kamfufue mfia wewe.
Mahakama ipi ilihukumu atekeleze hukumu ya kifo?


Au Kenya wamepitisha sheria ya kinga jinai kwa maafisa usalama?
 
Back
Top Bottom