Mekatilili
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 1,613
- 1,383
Sidhani kama Uhuru atatoboa 50%
Uchaguzi unarudiwa tena asipofika 50pcAsipotoboa inakuwaje Mkuu? Kwamba hakutakuwa na mshindi wa mija kwa moja?
Uchaguzi unarudiwa tena asipofika 50pc
Tujuze nini kinaendelea mubashara...wengine tupo Tandahimba huku hakuna umeme wala networkHii si dalili njema kama ni hivyo,tension itakuwa kubwa mno,ni kama Nchi itasimama kwa muda.Naangalia hapa K24 Live.Tuwaombee hawa majirani zetu
Tujuze nini kinaendelea mubashara...wengine tupo Tandahimba huku hakuna umeme wala network
50%ya nini kura? Waliojiandikisha?Sidhani kama Uhuru atatoboa 50%
Kwani alikuwa anashindana na nani!???Ni uhesabuji wa kura unaendelea na kama inavyotarajiwa Uhuru anaongoza hadi sasa.
Anaongoza mbele ya nani?Ni uhesabuji wa kura unaendelea na kama inavyotarajiwa Uhuru anaongoza hadi sasa.
Nafikiri wafuasi wa Raila wengi wamesusia, hivyo wanaopiga wengi ni wa Uhuru,kwa hiyo tutegemee Uhuru afanye vizuri zaidi ya mara ya kwanza.Sidhani kama Uhuru atatoboa 50%
50pc ya waliojiandikisha50%ya nini kura? Waliojiandikisha?
Kwani alikuwa anashindana na nani!???
Ili Uhuru ashinde, anahitaji atleast 50% ya watu wote waliojiandikisha....akipata chini ya hapo uchaguzi unarudiwaNafikiri wafuasi wa Raila wengi wamesusia, hivyo wanaopiga wengi ni wa Uhuru,kwa hiyo tutegemee Uhuru afanye vizuri zaidi ya mara ya kwanza.
Anaongoza mbele ya nani?