Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Polisi wa Kenya waua raia kwa kutokuvaa barakoa. Hawa jamaa ni kama hawana akili vile.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu bado wanang'ang'ania kizungu cha ugoko. Wao wenyewe hapo ndio wanajiona wameendeleaa, ha ha ha upuuzi mtupu.Kuuana ni kawaida yao sio kwasababu ya barakoa tu, hao ni zaidi ya wanyama porini.
Bc itakuwa kipaombele cha serikali yao. Lakini raia c waneandamana baada ya hao wakenya kuawa au wanasubir afe mmarekanKuuana ni kawaida yao sio kwasababu ya barakoa tu, hao ni zaidi ya wanyama porini.