Magonjwa Mtambuka JF-Expert Member Joined Aug 2, 2016 Posts 32,246 Reaction score 31,176 Jun 29, 2020 #1 Polisi wa Kenya waua raia kwa kutokuvaa barakoa. Hawa jamaa ni kama hawana akili vile.
joto la jiwe JF-Expert Member Joined Sep 4, 2017 Posts 26,117 Reaction score 46,617 Jun 29, 2020 #2 Kuuana ni kawaida yao sio kwasababu ya barakoa tu, hao ni zaidi ya wanyama porini.
Magonjwa Mtambuka JF-Expert Member Joined Aug 2, 2016 Posts 32,246 Reaction score 31,176 Jun 29, 2020 Thread starter #3 joto la jiwe said: Kuuana ni kawaida yao sio kwasababu ya barakoa tu, hao ni zaidi ya wanyama porini. Click to expand... Halafu bado wanang'ang'ania kizungu cha ugoko. Wao wenyewe hapo ndio wanajiona wameendeleaa, ha ha ha upuuzi mtupu.
joto la jiwe said: Kuuana ni kawaida yao sio kwasababu ya barakoa tu, hao ni zaidi ya wanyama porini. Click to expand... Halafu bado wanang'ang'ania kizungu cha ugoko. Wao wenyewe hapo ndio wanajiona wameendeleaa, ha ha ha upuuzi mtupu.
M Mbolabilika JF-Expert Member Joined Jul 30, 2019 Posts 2,128 Reaction score 2,867 Jun 29, 2020 #4 joto la jiwe said: Kuuana ni kawaida yao sio kwasababu ya barakoa tu, hao ni zaidi ya wanyama porini. Click to expand... Bc itakuwa kipaombele cha serikali yao. Lakini raia c waneandamana baada ya hao wakenya kuawa au wanasubir afe mmarekan
joto la jiwe said: Kuuana ni kawaida yao sio kwasababu ya barakoa tu, hao ni zaidi ya wanyama porini. Click to expand... Bc itakuwa kipaombele cha serikali yao. Lakini raia c waneandamana baada ya hao wakenya kuawa au wanasubir afe mmarekan