Wakenya wazidi kuchanganyikiwa kutokana na kusambaratika kwa uchumi

Wakenya wazidi kuchanganyikiwa kutokana na kusambaratika kwa uchumi

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617


Hali ya ukosefu wa ajira unaotokana na utawala wa hovyo wa Kenya, kumesababisha wakenya wengi kuchanganyikiwa na wengine kupendekeza kufanyike maandamano ya Umma ili kuondoa uongozi wa Jubilee ambao unaonekana wazi kwamba umeshindwa kuongoza nchi.

Endelea kuosoma "comments " za wakenya chini ya hiyo video, kisha weka maoni yako hapa JF, huenda yakasaidia katika kupata ufumbuzi wa matatizo ya Kenya.
 


Hali ya ukosefu wa ajira unaotokana na utawala wa hovyo wa Kenya, kumesababisha wakenya wengi kuchanganyikiwa na wengine kupendekeza kufanyike maandamano ya Umma ili kuondoa uongozi wa Jubilee ambao unaonekana wazi kwamba umeshindwa kuongoza nchi.

Endelea kuosoma "comments " za wakenya chini ya hiyo video, kisha weka maoni yako hapa JF, huenda yakasaidia katika kupata ufumbuzi wa matatizo ya Kenya.
Wakija watajitapa kuwa "wi ari ze ekonomiki pawa hausi in isti Afirika".
Wakenya bhanaaa!!!
 
Source umetoa TUKO...Mungu wangu!!si mnatapatapa sana kutafuta njia ya kuipaka kenya mabaya jf...leo naona umeachana na comments za youtube


Hali ya ukosefu wa ajira unaotokana na utawala wa hovyo wa Kenya, kumesababisha wakenya wengi kuchanganyikiwa na wengine kupendekeza kufanyike maandamano ya Umma ili kuondoa uongozi wa Jubilee ambao unaonekana wazi kwamba umeshindwa kuongoza nchi.

Endelea kuosoma "comments " za wakenya chini ya hiyo video, kisha weka maoni yako hapa JF, huenda yakasaidia katika kupata ufumbuzi wa matatizo ya Kenya.
 


Hali ya ukosefu wa ajira unaotokana na utawala wa hovyo wa Kenya, kumesababisha wakenya wengi kuchanganyikiwa na wengine kupendekeza kufanyike maandamano ya Umma ili kuondoa uongozi wa Jubilee ambao unaonekana wazi kwamba umeshindwa kuongoza nchi.

Endelea kuosoma "comments " za wakenya chini ya hiyo video, kisha weka maoni yako hapa JF, huenda yakasaidia katika kupata ufumbuzi wa matatizo ya Kenya.


Watanzania wakiongea hivyo kwa media watafungwa korokoroni na supremo dikteta.
 
Source umetoa TUKO...Mungu wangu!!si mnatapatapa sana kutafuta njia ya kuipaka kenya mabaya jf...leo naona umeachana na comments za youtube
Hahahaha, huko ndio kuchanganyikiwa kwenyewe, pole sana
 
Mkuu mbona MUONGO KANISANI HUWA WAENDA FANYA NINI ???
KUMBUKA SERIKALI YA UHURUTO IMESITISHA AJIRA MIAKA MITATU.
JE TZ UMEWAHI SIKIA KITU KM HIKO???
WATU WANA COMMIT SUICIDE HUKO KWENU KISA UGUMU WA MAISHA ULISHAWAHI SIKIA HILO TZ???
ACHA KUJIFARIJI BANDUGU.
Kama tulivyosema hapa mara mingi, inaposimama Kenya, Tanzania ni kubaya mara tatu.
 
Back
Top Bottom