Mnakamata vidagaa ambavyo vinabeba kwa mifuko kwa ushrikiano wa Watanzania.
Siku mtakamata papa wa Kiarabu na Wahindi na Wazungu ambao wameitafuna hiyo nchi yenu tangu jadi, ndio siku nitakubali mumeanza kupata muamko mpya na mtatoka kwenye umaskini.
Lakini hadi hiyo siku ifike, mtaendelea na hizi show za PR
Sasa wewe issue ya makinikia unafikiri ni nani wamekamatwa.
Unafiki yule ceo wa barick toka kanada na ndege binafsi alikuja kutembea? Wamekamatwa mpaka wanakanyagana.
Pimbi wewe, ila ninakusamehe kwasababu kwenu hamna madini yoyote kwahiyo hujui lolote kuhusu madini. Hayo madini yaliyokamatwa sio Tanzanite inayitoka Merarani, hayo ni madini aina Mbalimbali na mengi hayatoki Arusha, yanatoka katika Mikoa mingine ya Tanzania, hao waliyakusanya toka kwa WACHIMBAJI wadogo wadogo toka mikoa Mbalimbali.Uelewa wako ni finyu Kama kawaida. Wewe kwa akili zako za kutafunia makande unafikiri wanaosafirisha hayo madini wanakubaliwa kivipi kuingia Mererani? SI jiwe alijenga ukuta humo kuwazuia watu Kama hao? Vipi Sasa unapata madini bado yanatoka Kama sio nyinyi wenyewe mnaowasaidia Hawa watu kuiba Nchi yenu?
Nyinyi ndio wezi wakubwa wa raslimali zenu kwa hivyo usipige kelele Kenya pigia Watanzania wenzako.
Duh! Hizo ni taarifa mpya kwangu, kumbe wamekamatwa....hivi wamepewa kifungo cha miaka mingapi gerezani, halafu natumai kila Mtanzania amepata Noah kama ilivyoahidiwa, na pia nategemea wamelipa mabilioni yote mliyowatajia.
Mnakamata vidagaa ambavyo vinabeba kwa mifuko kwa ushrikiano wa Watanzania.
Siku mtakamata papa wa Kiarabu na Wahindi na Wazungu ambao wameitafuna hiyo nchi yenu tangu jadi, ndio siku nitakubali mumeanza kupata muamko mpya na mtatoka kwenye umaskini.
Lakini hadi hiyo siku ifike, mtaendelea na hizi show za PR
Mshikwa na ngozi ndio mla nyamaMnakamata vidagaa ambavyo vinabeba kwa mifuko kwa ushrikiano wa Watanzania.
Siku mtakamata papa wa Kiarabu na Wahindi na Wazungu ambao wameitafuna hiyo nchi yenu tangu jadi, ndio siku nitakubali mumeanza kupata muamko mpya na mtatoka kwenye umaskini.
Lakini hadi hiyo siku ifike, mtaendelea na hizi show za PR
Mshikwa na ngozi ndio mla nyama
Uelewa wako ni finyu Kama kawaida. Wewe kwa akili zako za kutafunia makande unafikiri wanaosafirisha hayo madini wanakubaliwa kivipi kuingia Mererani? SI jiwe alijenga ukuta humo kuwazuia watu Kama hao? Vipi Sasa unapata madini bado yanatoka Kama sio nyinyi wenyewe mnaowasaidia Hawa watu kuiba Nchi yenu?
Nyinyi ndio wezi wakubwa wa raslimali zenu kwa hivyo usipige kelele Kenya pigia Watanzania wenzako.
Hakuna unalolijua kuhusu madini, wewe unasikia tu vijiweni na kwa propaganda za wavaa kijani.Pimbi wewe, ila ninakusamehe kwasababu kwenu hamna madini yoyote kwahiyo hujui lolote kuhusu madini. Hayo madini yaliyokamatwa sio Tanzanite inayitoka Merarani, hayo ni madini aina Mbalimbali na mengi hayatoki Arusha, yanatoka katika Mikoa mingine ya Tanzania, hao waliyakusanya toka kwa WACHIMBAJI wadogo wadogo toka mikoa Mbalimbali.
Tangu tumejenga ukuta pale mirerani, utoroshwaji wa Tanzanite umedhibitiwa kwa 90%. Kumbuka kwamba Tanzanite haipatikani katika eneo lilijengewa ukuta pekee, bado nje ya ukuta kuna wachimbaji wanaendelea kuchimba katika mashamba yao na kuyauza kwa walanguzi.
Tunapuzungumza kuhusu MADINI, wakenya mnapaswa kutulia, ninyi subirini tukianza kuzungumzia ukabila, rushwa na njaa, ndivyo mbavyo mumetuzidi.
Hahahahaha, sasa umeachana na ukuta wa Mererani, na umeachana na viongozi wa serikali kuhusika na rushwa, sasa unataka kujua wananchi walivyofaidika na MADINI.Hakuna unalolijua kuhusu madini, wewe unasikia tu vijiweni na kwa propaganda za wavaa kijani.
Hivi hayo madini yameisaidia Tz na Nini(Wanaanchi) haswa tangu kupata Uhuru?
Kweli yaliwasaidia kujenga LDC.Hahahahaha, sasa umeachana na ukuta wa Mererani, na umeachana na viongozi wa serikali kuhusika na rushwa, sasa unataka kujua wananchi walivyofaidika na MADINI.
Haya MADINI yalitusaidia kujenga umoja wa watanzania, tuliweza kutumia MADINI yetu kugharimia mipango ya kupiga vita ukabila, rushwa na kuleta Amani, pia tumefanikiwa kupunguza unemployment na pengo kati ya masikini na matajiri.
Aisee wakenya ni waruka vihunzi hodari....endelea na mada hewani usihame kisa umeshikwa...Kweli yaliwasaidia kujenga LDC.
ldc ni status tu my fren,kwani toka umetoka ldc mbona njaa inakuuma bado!!!!Kweli yaliwasaidia kujenga LDC.