babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 11,632
- 29,912
- Thread starter
-
- #41
Endelea na porojotrue safaricom power hour. Unawapata wanawatch bongo
most ni villagers btw, utapata they are into bongo music and afro cinema stuff. and kukuwa verified doesnt mean anythingVipi huyo mwenye youtube verified ni vilaggers? [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1171075
most ni villagers btw, utapata they are into bongo music and afro cinema stuff. and kukuwa verified doesnt mean anything
Ushahidi upo kwenye comment za huu wimbo mpya wa Harmonize - Magufuli, comment nyingi za wakenya wakitamani kupata raisi Kama JPM
Wimbo ameimbiwa JPM lakini wakenya wamejazana kucoment [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwasababu hawaishi nae!
Hawajui incompetencies zake!
Wanamuona at a far which is really skewed view!
Jiwe is a total failure!
Wasiolala hiki kitanda hawajui ukali wa kunguni wake!
Ukikaa huku jamii forums unaweza ukasema 2020 upinzani watachukua nchi[emoji23][emoji23]
Lakini kiuhalisia maskini wengi wanampenda Magufuli...ata hawa machinga waliolipishwa vitambulisho wanampenda sana...
Kumbe YouTube! Nilikuwa nashinda huko mwaka jana. Midanganyika ina mitusi joh! Hampendi wakenya kabisa.😁😁😁😁 Halafu Wakenya wapo obsessed na Tanzania sana they are thoroughly watching the space sababu tumewatupa mbali sana so far 😅😅😅
Nani asietaka kukaa Tanzania? Me mwenyewe nikitoka nje najihisi mgonjwa, Watanzania wanachukia Kenya wakati huku jf wanamuona uhuru kama mungu wao? Eti baba wa democracy wakifikiri wakisema hivyo ndio JPM anaona gere 😅😅😅 mtakaa sanaKumbe YouTube! Nilikuwa nashinda huko mwaka jana. Midanganyika ina mitusi joh! Hampendi wakenya kabisa.
Licha ya hayo mnayosema wananchi wanaikimbia nchi. eliakeem na Bantugbro hawataki kukaa huko.
Wyatt Mathewson yupo njiani akielekea Nigeria😎😊
Kumbe YouTube! Nilikuwa nashinda huko mwaka jana. Midanganyika ina mitusi joh! Hampendi wakenya kabisa.
Licha ya hayo mnayosema wananchi wanaikimbia nchi. eliakeem na Bantugbro hawataki kukaa huko.
Wyatt Mathewson yupo njiani akielekea Nigeria[emoji41][emoji4]
Huyo kilaza na kizungu chake cha ugoko ndio zake hizo. Eti "Wanamuona at a far which is really skewed view!" ha ha ha, hapo ndio kajiona amepiga ung'eng'e wa kufa mtu.Hahahaah chuki humchoma anayehifadhi
Huyo kilaza na kizungu chake cha ugoko ndio zake hizo. Eti "Wanamuona at a far which is really skewed view!" ha ha ha, hapo ndio kajiona amepiga ung'eng'e wa kufa mtu.
Hahahaha, kama wapo ni miongoni mwa wavuta bangi au vichaa. Kama hata ninyi wenyewe hamumpendi, vipi raia wa nchi zengine wampende?.Ukiona comment za wa amerika baada ya kuona vituo vya sgr kenya...ndio utaumia kabisa...
So hicho si kigezo cha kumfanya awe rais bora...au na nyinyi mletewe za watanzania wanavyopagawa na uhuru mtokwe na povu
Mkuu huo ndio uhalisia, takwimu zinaweza kudanganya kwaajili ya maslahi fulaniOoh yeah??
Takwimu unazo?
Kawaulize Twaweza walipofanya mwaka ule walipata kiasi gani na Jiwe akapaniki kiasi gani?
Stop being a bitch ma nigga!
Hahahaha, kama wapo ni miongoni mwa wavuta bangi au vichaa. Kama hata ninyi wenyewe hamumpendi, vipi raia wa nchi zengine wampende?.
Naomba utuonyeshee comments za raia wa nchi zifuatazo wanaompenda Uhuru Kenyatta
1)Senegal
2)Gambia
3) Liberia
5)Namibia
6)Zimbabwe
7) DRC
8)Nigeria
9)Haiti
10) Jamaica
Kila nchi weka comments 2 tu, Mimi nitakuwekea comments 5 kwa kila nchi zinazompenda na kumkubali uncle Magu.
Mbona Uhuru Kenyatta hatuishi naye lakini tunajua kwamba hafai?, mbona hakuna nchi yoyote ile inayomtamani Uhuru Kenyatta kuwa rais wake?, iweje watanzania wengi wanamkubali JPM kuliko ilivyokua kwa Kikwete na wote waliishi nao?Kwasababu hawaishi nae!
Hawajui incompetencies zake!
Wanamuona at a far which is really skewed view!
Jiwe is a total failure!
Wasiolala hiki kitanda hawajui ukali wa kunguni wake!
Takwimu zilizotolewa na BBC zilionyesha tofauti na Twaweza, je kati ya BBC na Twaweza, nani ni wabobezi zaidi?Ooh yeah??
Takwimu unazo?
Kawaulize Twaweza walipofanya mwaka ule walipata kiasi gani na Jiwe akapaniki kiasi gani?
Stop being a bitch ma nigga!
Wewe siku hizi siwezi kujibishana na wewe, ninakuheshimu sana kati ya wakenya wote. Japo umezaliwa Kenya, lakini roho, Upendo na wema wako sio wa Kenya, lazima umevipata toka Bongo. Ubarikiwe sana.Kumbe YouTube! Nilikuwa nashinda huko mwaka jana. Midanganyika ina mitusi joh! Hampendi wakenya kabisa.
Licha ya hayo mnayosema wananchi wanaikimbia nchi. eliakeem na Bantugbro hawataki kukaa huko.
Wyatt Mathewson yupo njiani akielekea Nigeria[emoji41][emoji4]