Wakenya wengi wanamkubali sana Rais JPM

Mbona Uhuru Kenyatta hatuishi naye lakini tunajua kwamba hafai?, mbona hakuna nchi yoyote ile inayomtamani Uhuru Kenyatta kuwa rais wake?, iweje watanzania wengi wanamkubali JPM kuliko ilivyokua kwa Kikwete na wote waliishi nao?

Mfano wako wa Uhuru ni wa hovyo kwasababu Approval Rating ya Uhuru nchini kwake ni kubwa na takwimu rasmi zipo!

Approval Rating za Jiwe nchini kwake zilitoka watu wakaambiwa sio raia na wakanyang’anywa paspoti zao!

Sasa kufananisha Uhuru na Jiwe ni ukoswaji akili tu!

Hakuna “nchi” inayomtamani rais wa wengine,ni baadhi ya raia wake kwa their personal biases ndio wanataka hivyo!Kujumlisha the entire population ni ukoswaji wa akili!

Haya,sema Wakenya (baadhi) wanampenda Magufuli na huku Tanzania (baadhi mimi included) tunamuona Uhuru ni the best president than anyone by far!

Hivyo nadhani tutaishia kwenye personal opinions zetu,which is okay!Ila kufanya opinions za baadhi ya wananchi ndio za entire population is a statistical lie!

Watanzania wengi wanampenda JPM hizo takwimu imeziharisha kutoka wapi?Au ni kutokana na macho yako binafsi huko mitaani kwako?Hiyo ni very small sample compared to 50mil people ambazo takwimu zao huna!

Ni vizuri tukaishia kwenye maoni yetu binafsi tu kwendana na macho yetu binafsi!

Ambapo kama ni hivyo,upo sawa na mimi nipo sawa kwendana na upenzi wetu binafsi wa haya mambo!
 

MK254
Ni kweli pia maCCM wamekwenda mbali na kununua watu wa kuimba mapambio kupitia Dr. Mumbi YouTuber maarufu bila kusahau ForbesAfrica magazine ya South Africa ili kuipamba serikali ya Awamu ya 5 ya CCM kimataifa. Tunashukuru MK254 kwa kuwa makini wapi upate habari za uhakika kuhusu hali ya kisiasa na uchumi Tanzania.

JamiiForums ndiyo platform pekee huru inayopambanisha kwa hoja ukweli wa habari na waKenya wote 'mukuje' kusoma habari za uhakika zilizofanyiwa uchambuzi wa kina kuhusu Afrika Mashariki, Dunia na bila kusahau Tanzania.
 
Mkuu huo ndio uhalisia, takwimu zinaweza kudanganya kwaajili ya maslahi fulani

Ni maskini wachache sana hawamkubali magufuli...

Usikasirike na kunitukana

Siwezi kukukasirikia kwa kutoa maoni tofauti na yangu!

Toa maoni yako unachokiona na kukipenda!

Unampenda Jiwe ila mimi simpendi!

Na wote tupo sawa kutokana na lens tunazotumia zipo tofauti!

Tunapoingia kwenye takwimu ndio nashangaa unadanganya maana hujaweka takwimu rasmi hapa!

Umeishia kutumia takwimu zinazotoka kichwani kwako kupitia macho yako binafsi huko mtaani kwako,which is okay na true kivyako vyako!

Kivyanguvyangu ukweli ni mwingine!

Tuchukue utafiti wa NGO ya Twaweza uliozuiliwa,ulisema Jiwe ana 42% Approval Rating.

Mliikataa na mkamnyang’anya uraia huyo boss wa Twaweza kisa majibu yametoka tofauti na yale mazuri ya 2015!

Utafuti haukataliwii kwa kufunga watu au kukataa kwa kuongea kama Juha!

Unakataliwa kwa kufanya utafiti mwingine independent majibu yaonekanike!

Hamkufanya hivyo maana mnajua majibu sahihi sio mazuri kwenu!

Mkaishia kumchukulia mtu uraia wake na passport yake!

Utafiti unapingwa kwa utafiti sio kunyang’anya uraia za watu!

Y’all flipping like monkeys!
 
Hahahaah chuki humchoma anayehifadhi

Chuki ni feelings associated with animals!

Human beings are animals!

Chuki sio kwa ajili ya mawe au chuma!

Therefore,Im really doing a good job of being a human being!

Labda,tell me,kuna mwanadamu ambae hajawahi kuchukia!?I’m waiting...
 
Heheeee!!!yani nikose kazi nianze kukuletea comments za watu hapa...nenda youtube ukaangalie video ya vituo vya kenya...uone comments za watu kutoka pande zote za dunia...we unaongelea sijui nchi kumi
 
Kwani hili jukwaa la kenya ni la nn...si ni la siasa pia..au we wafikiria ni nn?yani hii mada ikipelekwa kule mtakimbiana
Kwani ye kakwambia ni mwanasiasa???

Kule ni kwa ajili ya wanasiasa,sasa ye si mwanasiasa!!...sasa nani huzingatia maoni ya wanasiasa??????
 
Kweli kabisa jembe...jamaa wanapenda kujificha hku kw jukwaa la wakenya....manake kule wanapajua vizuri sana...watakula nyingi hadi wajisahau...

Km wanajiamini kwel hzo thread zao wazifungue katika majukwaa yaliyojaa watanzania...utaona moto...manake mtu vyuma vimekaza wewe unamletea porojo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Apeleke jukwaa lolote ambalo Watanzania wanachangia, apate za uso moja kwa moja. Watu vyuma vimekaza mtaani halafu unawapelekea misifa ya kwenye Youtube.
 
Leo naona umeingia kumi na nane...sasa mbna mnapiga kelele mkisema serikali ya kenya imeshindwa kulisha watu wake...

Leo umeona yamekufika shingoni...ndio wajifanya muungwana eti uhuru kapatia watu wangapi sufuria...sanat sana...mpka nacheka kw furaha sana walai[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Africa nzima?
Kazi gani anazozifanya yeye ambazo zinamfanya awe kiongozi anayejulikana Africa nzima?
kipi kipya alichokifanya yeye ambacho Marais wengine wa Africa hawajakifanya?
Hao wakenya wenyewe hawamtaki rais wao, vipi wao pia ni kitanda usichokilala?. Sidhani kama West Africa wanajua jina la rais wa Kenya, Magufuli anajulikana karibia Africa nzima kwa kazi anazozifanya.
 
Africa nzima?
Kazi gani anazozifanya yeye ambazo zinamfanya awe kiongozi anayejulikana Africa nzima?
kipi kipya alichokifanya yeye ambacho Marais wengine wa Africa hawajakifanya?
Nasikia amefanikiwa kudhibiti vifo vya watanzania.
Kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa na ichoboy01 mwaka jana.
Imebainika kuwa tangu jamaa aingie mamlakani, kifo kimetoweka Tanzania.
 
Kule hapagusiki...nishaona mmoja alijaribu, yani alikula za uso hadi akaukimbia uzi
Ataukimbia uzi wake, unajua kidogo humu JF ndio Watanzania wengi hupata kafursa kakusema, maana kule nje athubutu kuongea tu....defenda zinageuzwa geuzwa mtaani.
 
Ushahidi upo kwenye comment za huu wimbo mpya wa Harmonize - Magufuli, comment nyingi za wakenya wakitamani kupata raisi Kama JPM
Wimbo ameimbiwa JPM lakini wakenya wamejazana kucoment [emoji23][emoji23][emoji23]
Hawamjui Magu vizuri na kiufupi magu amebana propaganda zote za kuongea ukweli kuhusu yeye ameachia zote za kumsifu.

Kenya wanaongelea mabaya ya rais pia yani wapo huru.

Ila kiuhalisia Uhuru is Far better more than magu.

Kenyans don't know this.
 
Msilolijua litawasumbua
Ujumbe kwenu Wakenya Wanigeria etc
Hamyajui tunayoyajua
Yaliyopo huko kwenu ndiyo yaliyopo huku actually huku kwetu ni worse kuliko mnavyodhani
 
Itakuwa sio wakenya hao villagers...

Maana kenya ni nairobi tu,huko turkana,mombasa,dongo kundi,kakuma,kaijado,nyeri si kenya huko...
Mombasa ni city, Nakuru is a huge town etc. Ni hard upate diehard bongo fans in urban centres unless ni new wave of settlers. But ukienda ocha/village, Bongo is the real thing
 

Ukikaa huku jamii forums unaweza ukasema 2020 upinzani watachukua nchi[emoji23][emoji23]

Lakini kiuhalisia maskini wengi wanampenda Magufuli...ata hawa machinga waliolipishwa vitambulisho wanampenda sana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…