cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,448
- 7,972
Ni mijadala mikali inayoshika moto Kenya baada ya Tanzania kutangaza maambukizi mapya ambayo kitakwimu Tanzania imeonekana kuwa Taifa la kwanza Afrika Mashariki kuwa na maambukizi makubwa ya Covid 19
Wakenya wengi wanasema kuna kasisi wa Tanzania alituombea mabaya sana kuwa serikali imefunga makanisa tutaangamia na Corona
Wanasema aseme nchi yake ambayo haikufunga makanisa kama Mungu amepunguza maambukizi
Wamemtaka Askofu Gwajima aombe msamaha Wakenya na atubu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakenya wengi wanasema kuna kasisi wa Tanzania alituombea mabaya sana kuwa serikali imefunga makanisa tutaangamia na Corona
Wanasema aseme nchi yake ambayo haikufunga makanisa kama Mungu amepunguza maambukizi
Wamemtaka Askofu Gwajima aombe msamaha Wakenya na atubu
Sent using Jamii Forums mobile app