Wakianza wachezaji hawa, Simba anaweza kupata point 1 Congo

Hadrianus

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2020
Posts
2,112
Reaction score
5,229
Aish MANULA

Shomar KAPOMBE
Mohammed HUSSEIN
Ibrahim AME (kama ONYANGO atakosekana)
Peter MUDUHWA

Thadeo LWANGA
Erasto NYONI
Mzamiru YASSIN

Luis MIQUESSON
Clatous Chama

Meddie Kagere
 
Peter Muduwa hawezi anza 1st eleven mechi yake ya kwanza na Simba na mechi kubwa atakaa Wawa hapo pia hawezi kuweka viungo wakabaji watatu, mmoja kati ya Mzamiru na Nyoni ataanzia benchi halafu Bwalya ataanza
 
Peter Muduwa hawezi anza 1st eleven mechi yake ya kwanza na Simba na mechi kubwa atakaa Wawa hapo pia hawezi kuweka viungo wakabaji watatu, mmoja kati ya Mzamiru na Nyoni ataanzia benchi halafu Bwalya ataanza
Nafasi ya Bwalya acheze Mzamiru, kusaidia kukaba juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ