Kenya 2022 Wakikuyu wanahusudu fisadi

Kenya 2022 Wakikuyu wanahusudu fisadi

Kenya 2022 General Election

kmbwembwe

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
10,892
Reaction score
7,780
Nilichojifunza uchaguzi wa Kenya wakikuyu wanahusudu sana ufisadi na ni wakabila wakubwa.

Licha ya mgombea mwenza wa Ruto kuwa ana shutuma ya ufisadi na Ruto mwenyewe kuwa na shutuma za ufisadi wameamua wao Ruto ndio mtu wao.

Hoja kwao ni kwamba Ruto aliwaunga mkono Wakikuyu kumuweka Kenyatta na kwamba Kenyatta kwa kukiuka makubaliano yenye msingi wa kikabila na kumuunga mkono Odinga amewasaliti.

All in all tunawaombea ndugu zetu wa Kenya uchaguzi wa amani. Mungu awaepushe na ghasia kwa mara nyingine hapo mshindi wa Urais atakapotangazwa.
 
Kwa hiyo ulitaka wakikuyu wacheze ngoma ya Kenyatta, siyo? hizo shutuma za ufisadi umeziona wewe kuliko wao ambao uchaguzi unawahusu, acha kufananisha uchaguzi wa Kenya na chafuzi zinazofanyika hapa bongolala.......
 
Kwa hiyo ulitaka wakikuyu wacheze ngoma ya Kenyatta, siyo? hizo shutuma za ufisadi umeziona wewe kuliko wao ambao uchaguzi unawahusu, acha kufananisha uchaguzi wa Kenya na chafuzi zinazofanyika hapa bongolala.......
Tangu magufuli awatoe kapa uchaguzi 2020 wapinzani mumekua na kiwewe hakiishi. Mko obsessed na chuki ya ajabu😂
 
Tangu magufuli awatoe kapa uchaguzi 2020 wapinzani mumekua na kiwewe hakiishi. Mko obsessed na chuki ya ajabu😂
Swala la uchaguzi kuwa genuine ni swala la kikatiba, siyo la upinzani wala mama yake upinzani.
 
Back
Top Bottom