kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,892
- 7,780
Nilichojifunza uchaguzi wa Kenya wakikuyu wanahusudu sana ufisadi na ni wakabila wakubwa.
Licha ya mgombea mwenza wa Ruto kuwa ana shutuma ya ufisadi na Ruto mwenyewe kuwa na shutuma za ufisadi wameamua wao Ruto ndio mtu wao.
Hoja kwao ni kwamba Ruto aliwaunga mkono Wakikuyu kumuweka Kenyatta na kwamba Kenyatta kwa kukiuka makubaliano yenye msingi wa kikabila na kumuunga mkono Odinga amewasaliti.
All in all tunawaombea ndugu zetu wa Kenya uchaguzi wa amani. Mungu awaepushe na ghasia kwa mara nyingine hapo mshindi wa Urais atakapotangazwa.
Licha ya mgombea mwenza wa Ruto kuwa ana shutuma ya ufisadi na Ruto mwenyewe kuwa na shutuma za ufisadi wameamua wao Ruto ndio mtu wao.
Hoja kwao ni kwamba Ruto aliwaunga mkono Wakikuyu kumuweka Kenyatta na kwamba Kenyatta kwa kukiuka makubaliano yenye msingi wa kikabila na kumuunga mkono Odinga amewasaliti.
All in all tunawaombea ndugu zetu wa Kenya uchaguzi wa amani. Mungu awaepushe na ghasia kwa mara nyingine hapo mshindi wa Urais atakapotangazwa.