BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Wakili wa Kujitegemea Steven Mduma (38) amehukumiwa kifungo cha miaka saba jela na Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kumuua bila kukusudia Mpenzi wake aitwae Jackline Mwanjimbe.
Hukumu hiyo imetolewa leo na Jaji John Nkwabi baada ya kupatikana na hatia hiyo ambapo Wakili wa Serikali Judith Kyamba aliiomba Mahakama hiyo itoe adhabu kali ili iwe fundisho kwa wengine.
Wakili Mduma anadaiwa kutenda tukio hilo Oktoba 4,2020 maeneo ya Kimara Bucha Jijini Dar es salaam ambapo alimuua Jackline muda mfupi baada ya kutoka baa alipokwenda kulewa
Hukumu hiyo imetolewa leo na Jaji John Nkwabi baada ya kupatikana na hatia hiyo ambapo Wakili wa Serikali Judith Kyamba aliiomba Mahakama hiyo itoe adhabu kali ili iwe fundisho kwa wengine.
Wakili Mduma anadaiwa kutenda tukio hilo Oktoba 4,2020 maeneo ya Kimara Bucha Jijini Dar es salaam ambapo alimuua Jackline muda mfupi baada ya kutoka baa alipokwenda kulewa