R Retired JF-Expert Member Joined Jul 22, 2016 Posts 44,629 Reaction score 83,056 Aug 20, 2021 #21 Kuna mtu humu amesema una akili ya KUKU, Bavich wanaingiaje hapa JOHNKEKE said: Baada ya kuona kesi ya kupika inaonyesha rangi yake halisi, BAVICHA waja na mbinu mbadara kama kawaida yao. Click to expand...
Kuna mtu humu amesema una akili ya KUKU, Bavich wanaingiaje hapa JOHNKEKE said: Baada ya kuona kesi ya kupika inaonyesha rangi yake halisi, BAVICHA waja na mbinu mbadara kama kawaida yao. Click to expand...
Z zandrano JF-Expert Member Joined Jan 24, 2017 Posts 7,893 Reaction score 8,816 Aug 20, 2021 #22 kumbe kazi ya uwakili ina mshahara mkubwa! nadhani kuliko hata hakimu. aise! hii ndio kazi ya kufanya
kumbe kazi ya uwakili ina mshahara mkubwa! nadhani kuliko hata hakimu. aise! hii ndio kazi ya kufanya
N nyakubonga JF-Expert Member Joined Apr 5, 2015 Posts 5,960 Reaction score 9,978 Aug 21, 2021 #23 Unaweza kuthibitisha?