Pre GE2025 Wakili Deogratius Mahinyila: Polisi ituambie nani anayeteka vijana wa CHADEMA na wenye maoni tofauti na serikali

Pre GE2025 Wakili Deogratius Mahinyila: Polisi ituambie nani anayeteka vijana wa CHADEMA na wenye maoni tofauti na serikali

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Papaa Mobimba

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2018
Posts
882
Reaction score
3,337
“Asilimia kubwa ya vijana ambao wanatekwa ni vijana wa upinzani ni vijana WanaCHADEMA ni vijana wanaharakati.

Kwa kuwa watu wanaotekwa ni watu wenye mrengo huu wa kimageuzi ni watu wanaoiunga CHADEMA hebu tuambieni kwanini tusiamini kutekwa kwao mnataka kupunguza ari na morali ya vijana wa upinzani kuendelea kuikosoa serikali kwa nini tusiamini huu ni mkakati wa kupunguza kasi yetu ya kuwa wapinzani.

Ni kikundi gani kina maslahi na vijana wa CHADEMA. Polisi mtuambie hawa watu ambao wanaotuteka vijana wa chadema wanaowateka vijana ambao wana maoni tofauti na serikali”

Soma, Pia

mahinyila.jpg
 
“Asilimia kubwa ya vijana ambao wanatekwa ni vijana wa upinzani ni vijana WanaCHADEMA ni vijana wanaharakati. K

wa kuwa watu wanaotekwa ni watu wenye mrengo huu wa kimageuzi ni watu wanaoiunga CHADEMA hebu tuambieni kwa nini tusiamini kutekwa kwao mnataka kupunguza ari na morali ya vijana wa upinzani kuendelea kuikosoa serikali kwa nini tusiamini huu ni mkakati wa kupunguza kasi yetu ya kuwa wapinzani.

Ni kikundi gani kina maslahi na vijana wa CHADEMA. Polisi mtuambie hawa watu ambao wanaotuteka vijana wa chadema wanaowateka vijana ambao wana maoni tofauti na serikali”

Kwa nini anataka Polisi wajibu swali hili?

Kamwe Hatapata majibu ya uhakika ya swali lake hili milele kutoka kwa hao anaowauliza!


" We were forced to form a Paramilitary Wing of uMkhonto we Sizwe within the ANC because the Government of Whites Minorities of South Africa was terrorising us by using the State Security Forces."

Oliver Reginald Tambo, a former President of Africans National Congress (ANC) from 1967 to 1993.
 
Uwakili wa kuokoteza huo, hajawahi kushinda kesi yoyote ile, ukiacha za kudandia
 
“Asilimia kubwa ya vijana ambao wanatekwa ni vijana wa upinzani ni vijana WanaCHADEMA ni vijana wanaharakati.

Kwa kuwa watu wanaotekwa ni watu wenye mrengo huu wa kimageuzi ni watu wanaoiunga CHADEMA hebu tuambieni kwanini tusiamini kutekwa kwao mnataka kupunguza ari na morali ya vijana wa upinzani kuendelea kuikosoa serikali kwa nini tusiamini huu ni mkakati wa kupunguza kasi yetu ya kuwa wapinzani.

Ni kikundi gani kina maslahi na vijana wa CHADEMA. Polisi mtuambie hawa watu ambao wanaotuteka vijana wa chadema wanaowateka vijana ambao wana maoni tofauti na serikali”

Soma, Pia

VYOMBO VYA DOLA,the only string which hold them to remain in POWER.
 
“Asilimia kubwa ya vijana ambao wanatekwa ni vijana wa upinzani ni vijana WanaCHADEMA ni vijana wanaharakati.

Kwa kuwa watu wanaotekwa ni watu wenye mrengo huu wa kimageuzi ni watu wanaoiunga CHADEMA hebu tuambieni kwanini tusiamini kutekwa kwao mnataka kupunguza ari na morali ya vijana wa upinzani kuendelea kuikosoa serikali kwa nini tusiamini huu ni mkakati wa kupunguza kasi yetu ya kuwa wapinzani.

Ni kikundi gani kina maslahi na vijana wa CHADEMA. Polisi mtuambie hawa watu ambao wanaotuteka vijana wa chadema wanaowateka vijana ambao wana maoni tofauti na serikali”

Soma, Pia

Wajinga tu vijana wa chadema. Tena na huyo mwenyekiti wenu kichaa ndio shiiiida. Eti mtazuia uchaguzi usifanyike hadi katiba irekebishwe? Irekebishwe mara ngapi wajinga nyie. Au mnataka viwekwe vifungu kuizuia ccm isigombee maana mnashindwa kuishinda. Hizi theatre za kutekana ni kazi yenu wenyewe.
 
Back
Top Bottom