Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heshima kwenu wakuu.
naangalia Itv Huyu wakili anaelezea vizuri sana kuhusu mambo ya bunge la katiba...fuatilia
hamna kitu hapo, hao wakiwa hapo wanatafutaga ujaji tu hawanaga maslahi na raia, si rais wa tanganyika law society huyo, hana lolote huyo.Heshima kwenu wakuu.
naangalia Itv Huyu wakili anaelezea vizuri sana kuhusu mambo ya bunge la katiba...fuatilia
anaitwa Fransis stollah.Heshima kwenu wakuu.
naangalia Itv Huyu wakili anaelezea vizuri sana kuhusu mambo ya bunge la katiba...fuatilia
advocate Francis Tolah ni mojawapo ya smart advocates ndani na nje ya Tanzania. I know him personally. soon atakuwa judge hapa Tanzania.
Na yeye ni wakili msomi sana Francis Stolla? Duuh
Vigezo vya kuwa kiongozi ni vipi weka merits ili huo wivu uonekane dhidi ya misifa ya kufagiliana!!!!!kwa upande wangu, francis stollah ni wakili mzuri, na hatua ya yeye kuchaguliwa na wanasheria wasomi kuwa kiongozi wa TLS inathibitisha, hivyo basi tuache wivu.