Wakili Jebra Kambole amefungua shauri kupinga adhabu ya kifo ya lazima

Wakili Jebra Kambole amefungua shauri kupinga adhabu ya kifo ya lazima

lord atkin

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2018
Posts
205
Reaction score
769
Wakili wa kujitegemea Jebra Kambole amefungua kesi mahakama kupinga ulazima wa hukumu ya kifo kwa watu wanaofanya makosa husika mfano kuua kwa kukusudia. Hoja ya Jebra Kambole ni kwanini iwe lazima kwa mahakama kutoa hukumu ya kifo kwa mtuhumiwa wa makosa husika bila kuwepo na option nyingine ikiwemo mahakama kupata nafasi ya kutafakari mazingira halisi ya kesi husika?

Ikumbukwe kuwa hukumu ya kifo imewahi kuchukua nafasi ya mahakama ya rufani katika kesi ya Mbushuu and another vs Republic ambapo mahakama ilisema hukumu hiyo ni halali na haipingani na katiba. Mahakama ya rufani ilikuwa ikijibu hoja za Jaji Mwalusanya aliyeitangaza adhabu ya kifo kuwa batili
Screenshot_2018-10-22-12-57-16.jpg
 
Wakili wa kujitegemea Jebra Kambole amefungua kesi mahakama kupinga ulazima wa hukumu ya kifo kwa watu wanaofanya makosa husika mfano kuua kwa kukusudia. Hoja ya Jebra Kambole ni kwanini iwe lazima kwa mahakama kutoa hukumu ya kifo kwa mtuhumiwa wa makosa husika bila kuwepo na option nyingine ikiwemo mahakama kupata nafasi ya kutafakari mazingira halisi ya kesi husika?

Ikumbukwe kuwa hukumu ya kifo imewahi kuchukua nafasi ya mahakama ya rufani katika kesi ya Mbushuu and another vs Republic ambapo mahakama ilisema hukumu hiyo ni halali na haipingani na katiba. Mahakama ya rufani ilikuwa ikijibu hoja za Jaji Mwalusanya aliyeitangaza adhabu ya kifo kuwa batiliView attachment 907069
Uko vizuri sana, ebu tufungulie pia shauri la wafanyakazi walioachishwa na kushinda kesi walipwe kwa mshahara uliopo sasa ili waajiri wajifunze kutofukuza ovyo wafanyakazi.
 
" Hoja ya Jebra Kambole ni
kwanini iwe lazima kwa mahakama kutoa
hukumu ya kifo kwa mtuhumiwa wa
makosa husika bila kuwepo na option
nyingine ikiwemo mahakama kupata
nafasi ya kutafakari mazingira halisi ya kesi
husika?"
MWISHO WA KUNUKUU

Ni kweli mahakama huwa hazizingatii mazingira ya kesi/tukio ili kuamua kama mtuhumiwa Kaua-Murder (Ili kustahili kunyongwa), Au kaua bila kukusudia -Manslaughter (ili kustahili kifungo)?

By the way, sheria ina mazuri yake na mabaya yake!
Mabaya ni pale mtu aliyechinja na kukata albino kama slesi za mkate, anapoenda kutetewa mahakamani..!!! No wonder Sometimes, Sheria na Haki huwa vina-conflict!
 
" Hoja ya Jebra Kambole ni
kwanini iwe lazima kwa mahakama kutoa
hukumu ya kifo kwa mtuhumiwa wa
makosa husika bila kuwepo na option
nyingine ikiwemo mahakama kupata
nafasi ya kutafakari mazingira halisi ya kesi
husika?"
MWISHO WA KUNUKUU

Ni kweli mahakama huwa hazizingatii mazingira ya kesi/tukio ili kuamua kama mtuhumiwa Kaua-Murder (Ili kustahili kunyongwa), Au kaua bila kukusudia -Manslaughter (ili kustahili kifungo)?

By the way, sheria ina mazuri yake na mabaya yake!
Mabaya ni pale mtu aliyechinja na kukata albino kama slesi za mkate, anapoenda kutetewa mahakamani..!!! No wonder Sometimes, Sheria na Haki huwa vina-conflict!
 
" Hoja ya Jebra Kambole ni
kwanini iwe lazima kwa mahakama kutoa
hukumu ya kifo kwa mtuhumiwa wa
makosa husika bila kuwepo na option
nyingine ikiwemo mahakama kupata
nafasi ya kutafakari mazingira halisi ya kesi
husika?"
MWISHO WA KUNUKUU

Ni kweli mahakama huwa hazizingatii mazingira ya kesi/tukio ili kuamua kama mtuhumiwa Kaua-Murder (Ili kustahili kunyongwa), Au kaua bila kukusudia -Manslaughter (ili kustahili kifungo)?

By the way, sheria ina mazuri yake na mabaya yake!
Mabaya ni pale mtu aliyechinja na kukata albino kama slesi za mkate, anapoenda kutetewa mahakamani..!!! No wonder Sometimes, Sheria na Haki huwa vina-conflict!
Hapana Msingi wa kosa na msingi wa adhabu ni tofauti.
Hatua ya kuamua kuwa hii ni Murder au Manslaughter ni Kitu kingine ambacho kinazingatiwa kwa kiwango kikubwa sana tu.

Hoja ya Jebra ni pale panapokuwa na conviction ya murder mahakama haina tena discretion ya kutoa adhabu badala yake ni death penalty tu hicho ndicho anachokipinga Jebra
 
Anatafutaga kiki huyo jamaa....badala ya kuoinga sheria za ajabu ajabu kama kusema money laundering au murder hakuna dhamana we unapinga adhabu ya kifo? Wangap wamenyongwa?

Kuna sheria za kuchallenge ila death penalty is not one of them.
 
Wakili wa kujitegemea Jebra Kambole amefungua kesi mahakama kupinga ulazima wa hukumu ya kifo kwa watu wanaofanya makosa husika mfano kuua kwa kukusudia. Hoja ya Jebra Kambole ni kwanini iwe lazima kwa mahakama kutoa hukumu ya kifo kwa mtuhumiwa wa makosa husika bila kuwepo na option nyingine ikiwemo mahakama kupata nafasi ya kutafakari mazingira halisi ya kesi husika?

Ikumbukwe kuwa hukumu ya kifo imewahi kuchukua nafasi ya mahakama ya rufani katika kesi ya Mbushuu and another vs Republic ambapo mahakama ilisema hukumu hiyo ni halali na haipingani na katiba. Mahakama ya rufani ilikuwa ikijibu hoja za Jaji Mwalusanya aliyeitangaza adhabu ya kifo kuwa batiliView attachment 907069
Huyu jamaa saa nyingine ni kutafuta kiki au ni ujinga, mahakama ya rufani ishasema na iko wazi kuwa adhabu ya kifo ni halali kisheria. Sasa unarudi mahakama Kuu kutafuta nini?
 
Back
Top Bottom