Wakili Komba asema "Kwa jicho la kawaida ushahidi wa video unaonekana unatosha kuwatia hatiani 'Waliotumwa na Afande'

Wakili Komba asema "Kwa jicho la kawaida ushahidi wa video unaonekana unatosha kuwatia hatiani 'Waliotumwa na Afande'

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
MTAZAMO WANGU WA KISHERIA BAADA YA KUWEPO MAWAKILI WA UTETEZI WA KESI YA UBAKAJI NA ULAWITI KWA BINTI WA YOMBO DOVYA. ITAKUWA KESI NGUMU KWA JAMHURI KUTHIBITISHA BILA SHAKA YOYOTE ILI WASHITAKIWA WATIWE HATIANI:-

1. Je, binti aliyebakwa na kulawitiwa anawatambua washitakiwa wote wanne waliombaka na kumlawiti? Maana hakupata fursa ya kuangalia sura zao kutokana mazingira yaliyokuwepo.

2. Je, ushahidi muhimu usio tia shaka ni upi? ile video ya mitandaoni itapingwa sana na mawakili wa utetezi mahakamani kwa sababu haina sifa kiushahidi: aliipiga nani? kwa njia gani? lini? ni yenyewe kweli au ni nakala iliyohaririwa kuwaingiza washitakiwa kwa nia ovu? hiyo video ilihifadhiwa wapi na nani?, washitakiwa kufanana na waliomo kwenye video haimanishi ndio wao, maelezo yao ya kukiri kosa polisi sio ya kuaminika na watayakataa kwamba hayakuwa ya hiari kutokana na vitisho, nk.

3. Anayesemekana kutuma hao vijana yupo wapi ili athibitishe ni hao? Kwa nini yeye mwenyewe sio mashitakiwa?

ILA KWA JICHO LA KAWAIDA LA JAMII BILA KUZINGATIA UFUNDI WA KISHERIA, USHAHIDI WA VIDEO UNAONEKANA UNATOSHA KUWATIA HATIANI.

A. A. Komba, SC, Esq.
(Criminal Lawyer)
ADVOCATE
 
MTAZAMO WANGU WA KISHERIA BAADA YA KUWEPO MAWAKILI WA UTETEZI WA KESI YA UBAKAJI NA ULAWITI KWA BINTI WA YOMBO DOVYA. ITAKUWA KESI NGUMU KWA JAMHURI KUTHIBITISHA BILA SHAKA YOYOTE ILI WASHITAKIWA WATIWE HATIANI:-

1. Je, binti aliyebakwa na kulawitiwa anawatambua washitakiwa wote wanne waliombaka na kumlawiti? Maana hakupata fursa ya kuangalia sura zao kutokana mazingira yaliyokuwepo.

2. Je, ushahidi muhimu usio tia shaka ni upi? ile video ya mitandaoni itapingwa sana na mawakili wa utetezi mahakamani kwa sababu haina sifa kiushahidi: aliipiga nani? kwa njia gani? lini? ni yenyewe kweli au ni nakala iliyohaririwa kuwaingiza washitakiwa kwa nia ovu? hiyo video ilihifadhiwa wapi na nani?, washitakiwa kufanana na waliomo kwenye video haimanishi ndio wao, maelezo yao ya kukiri kosa polisi sio ya kuaminika na watayakataa kwamba hayakuwa ya hiari kutokana na vitisho, nk.

3. Anayesemekana kutuma hao vijana yupo wapi ili athibitishe ni hao? Kwa nini yeye mwenyewe sio mashitakiwa?

ILA KWA JICHO LA KAWAIDA LA JAMII BILA KUZINGATIA UFUNDI WA KISHERIA, USHAHIDI WA VIDEO UNAONEKANA UNATOSHA KUWATIA HATIANI.

A. A. Komba, SC, Esq.
(Criminal Lawyer)
ADVOCATE
Tunawaombia mediocre kuwa hapo hamna kesi ni akili zao za ushuzi tu
 
MTAZAMO WANGU WA KISHERIA BAADA YA KUWEPO MAWAKILI WA UTETEZI WA KESI YA UBAKAJI NA ULAWITI KWA BINTI WA YOMBO DOVYA. ITAKUWA KESI NGUMU KWA JAMHURI KUTHIBITISHA BILA SHAKA YOYOTE ILI WASHITAKIWA WATIWE HATIANI:-

1. Je, binti aliyebakwa na kulawitiwa anawatambua washitakiwa wote wanne waliombaka na kumlawiti? Maana hakupata fursa ya kuangalia sura zao kutokana mazingira yaliyokuwepo.

2. Je, ushahidi muhimu usio tia shaka ni upi? ile video ya mitandaoni itapingwa sana na mawakili wa utetezi mahakamani kwa sababu haina sifa kiushahidi: aliipiga nani? kwa njia gani? lini? ni yenyewe kweli au ni nakala iliyohaririwa kuwaingiza washitakiwa kwa nia ovu? hiyo video ilihifadhiwa wapi na nani?, washitakiwa kufanana na waliomo kwenye video haimanishi ndio wao, maelezo yao ya kukiri kosa polisi sio ya kuaminika na watayakataa kwamba hayakuwa ya hiari kutokana na vitisho, nk.

3. Anayesemekana kutuma hao vijana yupo wapi ili athibitishe ni hao? Kwa nini yeye mwenyewe sio mashitakiwa?

ILA KWA JICHO LA KAWAIDA LA JAMII BILA KUZINGATIA UFUNDI WA KISHERIA, USHAHIDI WA VIDEO UNAONEKANA UNATOSHA KUWATIA HATIANI.

A. A. Komba, SC, Esq.
(Criminal Lawyer)
ADVOCATE
Pale hamna kesi ni ngumu sana wale jamaa kutiwa hatiani, japonica ukweli ni kwamba ni wao na walifanya kitendo kile.
 
Nyundo ambaye ni mshtakiwa ndiye mchukua video au hukuona?
 
MTAZAMO WANGU WA KISHERIA BAADA YA KUWEPO MAWAKILI WA UTETEZI WA KESI YA UBAKAJI NA ULAWITI KWA BINTI WA YOMBO DOVYA. ITAKUWA KESI NGUMU KWA JAMHURI KUTHIBITISHA BILA SHAKA YOYOTE ILI WASHITAKIWA WATIWE HATIANI:-

1. Je, binti aliyebakwa na kulawitiwa anawatambua washitakiwa wote wanne waliombaka na kumlawiti? Maana hakupata fursa ya kuangalia sura zao kutokana mazingira yaliyokuwepo.

2. Je, ushahidi muhimu usio tia shaka ni upi? ile video ya mitandaoni itapingwa sana na mawakili wa utetezi mahakamani kwa sababu haina sifa kiushahidi: aliipiga nani? kwa njia gani? lini? ni yenyewe kweli au ni nakala iliyohaririwa kuwaingiza washitakiwa kwa nia ovu? hiyo video ilihifadhiwa wapi na nani?, washitakiwa kufanana na waliomo kwenye video haimanishi ndio wao, maelezo yao ya kukiri kosa polisi sio ya kuaminika na watayakataa kwamba hayakuwa ya hiari kutokana na vitisho, nk.

3. Anayesemekana kutuma hao vijana yupo wapi ili athibitishe ni hao? Kwa nini yeye mwenyewe sio mashitakiwa?

ILA KWA JICHO LA KAWAIDA LA JAMII BILA KUZINGATIA UFUNDI WA KISHERIA, USHAHIDI WA VIDEO UNAONEKANA UNATOSHA KUWATIA HATIANI.

A. A. Komba, SC, Esq.
(Criminal Lawyer)
ADVOCATE
peter madeleka pitia hizi hoja . Ni hoja za nguvu sana. get prepared!
 
Back
Top Bottom