wakili maarufu mjini arusha ashikiliwa na polisi kwa order kutoka marekan baada ya kugundulika akaunt yake ya benki ya stanbic tanzania kua na kias cha tsh 40bill..wakili huyo alishikwa ktk gari yake ya kifahari aina ya escelade na kukutwa na tsh million 20 ambazo alisema ni za matumizi yake madogo madogo ya siku..kwa taarifa zilizo rasmi zinanasema wakili median mwali anahusiano na al shabab na interpol walimfatilia kwa karibu mpaka kumtia hatian hivi majuzi.....
serikal ya tanzania iko wapi mpaka tuwe tunapokea taarifa kama hizi kupitia interpol?hawa usalama wa taifa kazi yao nin?
<br />Kufuatilia watu wanaomega waume na wake za watu!
Na bado nasikia kuna wengine wanasafiri na makapu ya mabunda ya noti utafikiri benki. Bora huyo za AL Shabab hawa wangine hazijulikani wanazipata vipi na niza nini??????????wakili maarufu mjini arusha ashikiliwa na polisi kwa order kutoka marekan baada ya kugundulika akaunt yake ya benki ya stanbic tanzania kua na kias cha tsh 40bill..wakili huyo alishikwa ktk gari yake ya kifahari aina ya escelade na kukutwa na tsh million 20 ambazo alisema ni za matumizi yake madogo madogo ya siku..kwa taarifa zilizo rasmi zinanasema wakili median mwali anahusiano na al shabab na interpol walimfatilia kwa karibu mpaka kumtia hatian hivi majuzi.....
serikal ya tanzania iko wapi mpaka tuwe tunapokea taarifa kama hizi kupitia interpol?hawa usalama wa taifa kazi yao nin?
acheni unafiki nyinyi, yani watu hua ni hodari kweli kufuatilia mambo ya watu ambayo hata hayana maana, MWAKICHI wewe hizo 40 b wewe ndio ulimuwekea kwenye account yake how do you know kwamba ana hizo hela, amekuoa wewe? mana huwezi kujua ukali wa pilipili unless umeionja wewe hayo mambo umeyatoa wapi, tanzania hii inamatatizo kibao mambayo mngeweza kuyaripoti humu ndani, mara ooh sijui watu wa interpool, umbea hua unasambaa kuliko ukweli, people are very stupid in here, we al shabab uliwaona? baaada ya kufata mambo yanayo kuhusu kazi kufata mambo ya watu, watu wengine bwana ni watu wazima ila kama wachamba wima midomo imewasimama shauri ya maneno, umbea na unafiki. rorho mbaya haisaidii ndugu yangu, watu wana husle ila hawatumii umbea kama wewe shoga wewe
<br />Kama usemayo ni kweli, 20 m matumizi madogo madogo ya siku, hii ni kubwa kuliko!
Punguza ukali ndugu, mbona unatoa povu? Wacha watu wajadili mamboacheni unafiki nyinyi, yani watu hua ni hodari kweli kufuatilia mambo ya watu ambayo hata hayana maana, MWAKICHI wewe hizo 40 b wewe ndio ulimuwekea kwenye account yake how do you know kwamba ana hizo hela, amekuoa wewe? mana huwezi kujua ukali wa pilipili unless umeionja wewe hayo mambo umeyatoa wapi, tanzania hii inamatatizo kibao mambayo mngeweza kuyaripoti humu ndani, mara ooh sijui watu wa interpool, umbea hua unasambaa kuliko ukweli, people are very stupid in here, we al shabab uliwaona? baaada ya kufata mambo yanayo kuhusu kazi kufata mambo ya watu, watu wengine bwana ni watu wazima ila kama wachamba wima midomo imewasimama shauri ya maneno, umbea na unafiki. rorho mbaya haisaidii ndugu yangu, watu wana husle ila hawatumii umbea kama wewe shoga wewe
Amesoma Ilboru, sio Enaboishu!.Namfahamu Mwale tangu anasoma Enaboishu miaka ya 1980s ni msiri sana anything ma be true. Baba yake pia alikua na pesa sana so ............
Hapo kwenye RED.....Nahisi hata kama wangekuwa wanajua wasinge sema.....wanaweza wakawa wamemegewa fungu ndio maana waka kaa kimya....yani aibu kweli kweli na uwozo hiyo idara.wakili maarufu mjini arusha ashikiliwa na polisi kwa order kutoka marekan baada ya kugundulika akaunt yake ya benki ....................................serikal ya tanzania iko wapi mpaka tuwe tunapokea taarifa kama hizi kupitia interpol?hawa usalama wa taifa kazi yao nin?
<br />
<br />
fafanua ha ha
<br /><font color="#0000cd"><font size="3"><b>Na bado nasikia kuna wengine wanasafiri na makapu ya mabunda ya noti utafikiri benki. Bora huyo za AL Shabab hawa wangine hazijulikani wanazipata vipi na niza nini??????????</b></font></font>
<br />acheni unafiki nyinyi, yani watu hua ni hodari kweli kufuatilia mambo ya watu ambayo hata hayana maana, MWAKICHI wewe hizo 40 b wewe ndio ulimuwekea kwenye account yake how do you know kwamba ana hizo hela, amekuoa wewe? mana huwezi kujua ukali wa pilipili unless umeionja wewe hayo mambo umeyatoa wapi, tanzania hii inamatatizo kibao mambayo mngeweza kuyaripoti humu ndani, mara ooh sijui watu wa interpool, umbea hua unasambaa kuliko ukweli, people are very stupid in here, we al shabab uliwaona? baaada ya kufata mambo yanayo kuhusu kazi kufata mambo ya watu, watu wengine bwana ni watu wazima ila kama wachamba wima midomo imewasimama shauri ya maneno, umbea na unafiki. rorho mbaya haisaidii ndugu yangu, watu wana husle ila hawatumii umbea kama wewe shoga wewe