Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Wakili Peter Madeleka amecharuka katika kesi inayomhusisha Afande Fatma Kigondo, anayekabiliwa na tuhuma za kuratibu tukio la ubakaji wa kundi na ulawiti wa binti wa Yombo Dovya, Dar es Salaam. Madeleka ametaka mshtakiwa akamatwe mara moja kwa kukaidi kufika mahakamani.
Kesi hiyo, ambayo ilipangwa kusikilizwa Oktoba 7, 2024, iliahirishwa hadi leo, Oktoba 15, baada ya Afande Fatma kushindwa kufika kwa madai ya kuwa mgonjwa. Wakili Madeleka amesisitiza kuwa mshtakiwa apewe adhabu kali kwa kukaidi, akisema, "Hatuwezi kuruhusu mahakama ichezewe."
Pia, Soma:
Kesi hiyo, ambayo ilipangwa kusikilizwa Oktoba 7, 2024, iliahirishwa hadi leo, Oktoba 15, baada ya Afande Fatma kushindwa kufika kwa madai ya kuwa mgonjwa. Wakili Madeleka amesisitiza kuwa mshtakiwa apewe adhabu kali kwa kukaidi, akisema, "Hatuwezi kuruhusu mahakama ichezewe."