Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 9,524
- 13,682
Hayo ni maoni ya Wakili maarufu wa kutetea haki za binadamu
Wakili Peter Madeleka ameshauri ufanyike usahili wa utimamu wa akili kwa Askari Polisi waliopo kwenye Majeshi.
Wakili Madelekea amesema ili kuweza kusaidia ni wa ngapi wana akili timamu ili kutumikia Majeshi yetu,ili wale wanao onekana akili zao zimeshapungua waondolewe na kuchukuliwa vijana wengine wapelekwe.
Wakili Madelekea amesema ili kuweza kusaidia ni wa ngapi wana akili timamu ili kutumikia Majeshi yetu,ili wale wanao onekana akili zao zimeshapungua waondolewe na kuchukuliwa vijana wengine wapelekwe.