Wakili Madeleka: Bunge lilipitisha Mkataba na siyo Makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Dubai

Wakili Madeleka: Bunge lilipitisha Mkataba na siyo Makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Dubai

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
6,067
Reaction score
10,938
Huu ni mkataba, akija mtu akasema kuwa haya ni makubaliano mkatalieni ni muongo. Muongo ni muongo tu. Bunge lilipitisha Mkataba. Bunge halina mamlaka ya kupokea na kujadili na kuridhia makubaliano. Kilichojadiliwa ndani ya bunge la Tanzania ni mkataba.

Vipngozi wa Serikali wanaona labda kwa kuita mkataba huu makubaliano labda kutakuwa na unafuu fulani utakaozima au kuleta unafuu kuhusu mjadala unaoendelea kuhusu ubovu wa huu mkataba kuhusu Serikali ya Tanzania na Dubai.

Baada ya Bunge kuridhia jambo, kinachofuata ni utungaji wa sheria, Dkt. Slaa amekaa bungeni zaidi ya miaka 15 na anafahamu kuwa unapojadili na kuridhia mkataba wa kimataifa, taathira yake ni kufanya huo mkataba kuwa sheria.

Ndio maana kwa kutambua hilo sasa Bunge la JMT limepokea Muswada wa Mabadiliko mbalimbali ya Sheria namba 2 ya mwaka 2023 kwa ajili ya kufanya marekebisho ya sheria zilizopo ili sheria hizo ziweze kuendana na huu mkataba tulioingia kwa sababu utekelezaji wa huu mkataba unahitaji nguvu ya sheria

Pia soma > Serikali imependekeza Sheria zinazolinda Maliasili na Kuikinga Nchi na Mikataba Mibovu zisitumike kwa DP World
 
 
NINI TOFAUTI KAT YA MAKUBALIANO NA MKATABA?
Maana kuna Makubaliano ya Muungano.
na
Kuna Mkataba wa Muungano.
Ipi ni ipi hapa?
 
KWA HIYO makubaliano yanaweza kuvunjwa lakini mkataba hauvunjwi au siyo?

Ina Maana Muungano wa Zanzibar na Tanganyika Hauna Kikomo wala masharti ya kuuvunja au siyo?
Kwa iyo Mkataba wa GP World na o hauna ukomo kama ule wa tanmganyika kuikalia Zanzibar?
Au sivyo
 
KWA HIYO makubaliano yanaweza kuvunjwa lakini mkataba hauvunjwi au siyo?

Ina Maana Muungano wa Zanzibar na Tanganyika Hauna Kikomo wala masharti ya kuuvunja au siyo?
Kwa iyo Mkataba wa GP World na o hauna ukomo kama ule wa tanmganyika kuikalia Zanzibar?
Au sivyo
Zam zam daizi mmetukalia hasa
 
Huu ni mkataba, akija mtu akasema kuwa haya ni makubaliano mkatalieni ni muongo. Muongo ni muongo tu. Bunge lilipitisha Mkataba. Bunge halina mamlaka ya kupokea na kujadili na kuridhia makubaliano. Kilichojadiliwa ndani ya bunge la Tanzania ni mkataba.

Vipngozi wa Serikali wanaona labda kwa kuita mkataba huu makubaliano labda kutakuwa na unafuu fulani utakaozima au kuleta unafuu kuhusu mjadala unaoendelea kuhusu ubovu wa huu mkataba kuhusu Serikali ya Tanzania na Dubai.

Baada ya Bunge kuridhia jambo, kinachofuata ni utungaji wa sheria, Dkt. Slaa amekaa bungeni zaidi ya miaka 15 na anafahamu kuwa unapojadili na kuridhia mkataba wa kimataifa, taathira yake ni kufanya huo mkataba kuwa sheria.

Ndio maana kwa kutambua hilo sasa Bunge la JMT limepokea Muswada wa Mabadiliko mbalimbali ya Sheria namba 2 ya mwaka 2023 kwa ajili ya kufanya marekebisho ya sheria zilizopo ili sheria hizo ziweze kuendana na huu mkataba tulioingia kwa sababu utekelezaji wa huu mkataba unahitaji nguvu ya sheria

Pia soma > Serikali imependekeza Sheria zinazolinda Maliasili na Kuikinga Nchi na Mikataba Mibovu zisitumike kwa DP World
Yote yalisemwa
 
Back
Top Bottom