Pre GE2025 Wakili Madeleka: Dkt. Wilbrod Slaa ataendelea kusota Magereza hadi Januari 30, 2025, kwa sababu; "Kuna ugeni wa Marais"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mfumo Haki wa nchi hii una shida.
Ila huyu Mzee na yeye asote kidogo ni zamu yake hii maana wakati Mbowe anasota gelezani huku watu tukipiga makelele kwamba si Gaidi, Mzee alijitokeza akatuambia sisi wananchi tunajuaje kwamba Mbowe si Gaidi? akatushauri tusubiri mahakama iamue kwani mambo mengi sisi hatuyajui, wakati huo yeye akifurahia keki ya ubalozi wa Sweeden aliyozawadiwa na jiwe kwa njia ya kuwasaliti CDM akiwa Katibu Mkuu.

Toka siku hiyo huyu mzee nikajua ni mchumia Tumbo pasee!!
 
Kilewo: Lema umemtosa HOME BOY Aikael

Wachagga mna shida sana 😂😂
 
Habari wa Jf,
Kinachoendelea kwa DR.SLAA ni mipango ya Maafisa Vipenyo kushilikiana na Yeye mwenyewe.
Hiki kinachoendelea kwa sasa ni Usukumaji wa kete kwenye mchezo wa Draft ili Vipenyo watimize mipango yao.
Mipango iliopo hapa ni DR.SLAA kurejea Chamani,wanamkalisha huko na kumnyima zamana ili tupige kelele akitoka tumuone shujaa,kaonewa na Dola ikishilikiana na ccm.Ila hiki ni kirusi kinatengenezewa njia ya kurudi chamani
Ila sitosahau walicho tufanyia yeye na Prof.LIPIMBAVU mwaka 2015
 
Ndio umefikiria hapo mwenyewe
 

Dr. slaa akirudi chadema basi upinzani tena Hapana!
 
ccm.Ila hiki ni kirusi kinatengenezewa njia ya kurudi chamani
Ila sitosahau walicho tufanyia yeye na Prof.LIPIMBAVU mwaka 2015
 
Wahitaji dhamana wako wengi hadi hiyo tarehe 30.....si Dr.Slaa tu...

#Nchi Kwanza!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…