Precious Diamond
JF-Expert Member
- Jun 9, 2023
- 593
- 1,376
Maamuzi ya Jaji Wilson Nyansobera yanasubiriwa kutolewa muda sio mrefu kutoka hapa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar Es Salaam juu ya shauri lililoletwa mahakamani na Deusdedith Soka, Jackob Godwin Mlay na Frank Mbise wakiwakilishwa na mawakili Peter Madeleka, Paul Kisabo na Deogratius Mahinyila.
Pia soma: Kutoweka kwa Soka na wenzake, IGP, DPP, OCCID Temeke kufikishwa Mahakamani kwa Hati ya dharura
Jana shauri lilisikilizwa pande zote mbili (upande wa Jamhuri pamoja na waleta maombi) na Jaji Nyansobera alisema maamuzi juu ya shauri hilo atayatoa leo Agosti 28 2024 saa nne asubuhi
Pia soma: Kutoweka kwa Soka na wenzake, IGP, DPP, OCCID Temeke kufikishwa Mahakamani kwa Hati ya dharura
Jana shauri lilisikilizwa pande zote mbili (upande wa Jamhuri pamoja na waleta maombi) na Jaji Nyansobera alisema maamuzi juu ya shauri hilo atayatoa leo Agosti 28 2024 saa nne asubuhi